Simwelewi huyu mwanamke

Simwelewi huyu mwanamke

Kama unataka kumwacha mwambie hujikumwacha nautamtafuata popote atakapo kwenda

Ata ondoka mwenyewe huku akifikiri kweli uta mfuata

Ila usije thubutu kumludia utaumia Kama sio kifo
 
Habari.

Nimejikuta namchukia mke wangu.

Nimejikuta simpendi tena.

Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.

Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.

Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.

Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.

Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.

Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.

Ila anadai nikimuacha ataniua
Nipe namba yake nimkanye
 
Si umuache ili uone unavyokufa?😂

Mimi ukinitisha tu utaniua ndo tunaagana muda huohuo nione unavyoniua.
 
Habari.

Nimejikuta namchukia mke wangu.

Nimejikuta simpendi tena.

Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.

Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.

Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.

Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.

Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.

Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.

Ila anadai nikimuacha ataniua
Masikini Mimi na roho ndogo yangu ,uwa sisubiri kufika huko naachia ngazi mapema ili kesho nibaki kufurahia kukaa na wazee vijiweni kwa amani
 
Habari.

Nimejikuta namchukia mke wangu.

Nimejikuta simpendi tena.

Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.

Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.

Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.

Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.

Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.

Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.

Ila anadai nikimuacha ataniua
Atakuua kweli, namjua vizuri sana.
 
Habari.

Nimejikuta namchukia mke wangu.

Nimejikuta simpendi tena.

Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.

Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.

Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.

Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.

Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.

Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.

Ila anadai nikimuacha ataniua


Majini yamekutana, jini kwa lugha rahisi ni binadamu wenye mapepo
 
Habari.

Nimejikuta namchukia mke wangu.

Nimejikuta simpendi tena.

Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.

Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.

Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.

Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.

Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.

Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.

Ila anadai nikimuacha ataniua
Ila sisi wanawake 🙆🏽‍♀️Pole kaka usimuache! Au mrudishe tu kidogo nyumbani. Atajifunza.
 
Habari.

Nimejikuta namchukia mke wangu.

Nimejikuta simpendi tena.

Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.

Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.

Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.

Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.

Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.

Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.

Ila anadai nikimuacha ataniua
Mmh we huogopiii..?
 
Habari.

Nimejikuta namchukia mke wangu.

Nimejikuta simpendi tena.

Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.

Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.

Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.

Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.

Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.

Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.

Ila anadai nikimuacha ataniua
Nione ndugu pembeni nikwambie jambo kama hutojali
 
Wala Huna haja ya kumwacha, kikubwa hakikisha na wewe unanuna milele, yani hata akitaka suluhu vipi hakikisha hukubali, nuna hadi anyoke akili, mimi mke wangu nilimnunia miaka 7 bila kupatana na tunaishi nyumba moja na unyumba tunapeana ila ndo hakuna kupatana wala kuchekeana, miaka 7 mfululizo, baada ya kupatana hadi Leo tunamiaka 20 hajawahi nuna na tulishakubaliana akija kunununa tena ndo tutanuniana mpaka kifo japo hatutoachana......hahahah
 
Back
Top Bottom