Simwelewi huyu mwanamke

Huyo Kuna step inabidi kutoiacha , always ladies is all about drama
 
Anadai ukimuacha atakuua [emoji23][emoji23][emoji23]nawew unakuja kutuandikia kama alivyokuambia bro au tunazungumza na kijana chin ya miak ishirin inawezekan hat kuoa ulioa ukiwa na miak 19
Nina 30 plus
 
Kwenye Tunda hapo alikuwa anakupaje
 
Yani mtu unamlisha alafu anakununia wiki mbili [emoji848] mchangamshe kidogo huyo unakaaje kizembe namna hiyo au wewe ndio mwenye shida [emoji848]
Nishapiga sana mzee hii goma ngumu
 
Hilo ni chaguo lako 🀣🀣🀣
Tulia mpk mzeeke wote unamuacha unamuachia nani??
 
Ndoa ni changamoto sana,Bora anakununia na anakupikia na Huduma zote unapata,labda humkaza vizuri...maana ukitoka asubuhi yeye anawaza utarudi saa ngapi umkaze!
 
Mwanamke anakutisha kukuua unatishika!?

Maajabu haya.
 
imekuaje unaoa mtu wa hovyo hivyo? πŸ€”
 
Hapo kwenye kukuua nadhani ndipo lilipo tatizo!!kama huogopi mkwala wa kufa piga chini huyo kunguru
 
Labda useme tatizo ni nini? Hamkufikia hapo overnight, something happened. Kuwa muwazi tujue tunaanzia wapi
Wakishamzoea mwanaume ndiyo wanavokuwaga, kiufupi kayachoka maisha ya jamaa anayaona ni yale yale ya kushindia ugali dagaa, wali nyama, etc...mwanamke ni mtu wa ajabu tu....

asa ukute ajielewi kama wa jamaa, mimi kuna mwanamke niliishi nae yaani anavo ongea mleta mada unaweza hisi ndo yule wakwangu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…