Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Beba nguo zako, toroka....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh,Ila anadai nikimuacha ataniua
Huyo Kuna step inabidi kutoiacha , always ladies is all about dramaHabari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
Nakazia Ndugu mjumbe#KATAA NDOA
#NDOA NI UTAPELI
Muache huyo asikutishe, nawewe umeogopa?Ila anadai nikimuacha ataniua
Nina 30 plusAnadai ukimuacha atakuua [emoji23][emoji23][emoji23]nawew unakuja kutuandikia kama alivyokuambia bro au tunazungumza na kijana chin ya miak ishirin inawezekan hat kuoa ulioa ukiwa na miak 19
Kwenye Tunda hapo alikuwa anakupajeWala Huna haja ya kumwacha, kikubwa hakikisha na wewe unanuna milele, yani hata akitaka suluhu vipi hakikisha hukubali, nuna hadi anyoke akili, mimi mke wangu nilimnunia miaka 7 bila kupatana na tunaishi nyumba moja na unyumba tunapeana ila ndo hakuna kupatana wala kuchekeana, miaka 7 mfululizo, baada ya kupatana hadi Leo tunamiaka 20 hajawahi nuna na tulishakubaliana akija kunununa tena ndo tutanuniana mpaka kifo japo hatutoachana......hahahah
Nishapiga sana mzee hii goma ngumuYani mtu unamlisha alafu anakununia wiki mbili [emoji848] mchangamshe kidogo huyo unakaaje kizembe namna hiyo au wewe ndio mwenye shida [emoji848]
Nikisema kumchangamsha sio kumpiga mzee mtafutie mwenzie na ajue kabisa kwamba kuna mwingine ili asijione yeye ndio yeyeNishapiga sana mzee hii goma ngumu
👆👆👆👆.. Jipange hapo hatanii huyo .Ila anadai nikimuacha ataniua
Mwanamke anakutisha kukuua unatishika!?Habari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
imekuaje unaoa mtu wa hovyo hivyo? 🤔Habari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
Wakishamzoea mwanaume ndiyo wanavokuwaga, kiufupi kayachoka maisha ya jamaa anayaona ni yale yale ya kushindia ugali dagaa, wali nyama, etc...mwanamke ni mtu wa ajabu tu....Labda useme tatizo ni nini? Hamkufikia hapo overnight, something happened. Kuwa muwazi tujue tunaanzia wapi