Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
kanuni ya kwanza ya mapenzi heshima mbele simu yake nini na wewe.Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?
Ujiamini na wewe yako anagusa, mpe muda labda kuna zimwi la kale anataka kulimaliza bila wewe kujua. its nice ukimpa mtu ka private chake ila uwe na darubini yako muda wote.