Simwelewi mpenzi wangu

Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?
kanuni ya kwanza ya mapenzi heshima mbele simu yake nini na wewe.

Ujiamini na wewe yako anagusa, mpe muda labda kuna zimwi la kale anataka kulimaliza bila wewe kujua. its nice ukimpa mtu ka private chake ila uwe na darubini yako muda wote.
 
Nilimpenda yeye,but why ataki nishike simu yake?ata bafuni anaibeba,what can I do?
 
Upelelezi ni sumu ya Mapenzi,
Wewe unampenda sana hapa yako ni mapenzi simu inakuhusu nini?
Unajua anashughulika na nini? Wewe unataka kujua kila kitu.
Atakuchoka na Mapenzi yatakwisha.
Kama unataka kumdhibiti muoane Uwe mali yake na yeye awe mali yako alafu muweke mipaka ya taratibu zenu na mzilinde wote.

Mimi Mke wangu hagusi simu yangu na mimi sigusi ya kwake. Wala simu yake ikiita kama yuko Bafuni mimi sipokei na wala siichunguzi.
Pia simu yangu ikiita hapokei na wala hachunguzi.
Tulielezana mapema hasara za Upelelezi kwenye mapenzi.
Mimi sina Mwanamke anayenipigia simu isipokuwa dada na mama zangu basi.
Na mke wangu vivyo hivyo.
 
ulimpenda yy au simu?simu ulinunua ww?so tatizo ni sm tu au kuna dalili nyingine umeziona?
need say more?
lazima kuwa wazi na mambo usiyoyapenda. kama sipendi cm ishikwe naanza day one. sio mnaacha then baadae ndo unaaza, sitaki ushike simu yangu!! alaaa!
 
Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?


changa la macho... mbona anatoka nje... anaficha nini kama mambo yake masafi?
 
huyu mpenzi wako naye inaonyesha ni mwingi wa habari kwanini simu iite yeye anatoka nje
inawezekana wewe usishike simu yake hiyo ni sawa kwa vile hajiamini je na hiyo ya kutoka nje..
anamaanisha hataki usikie anachoongea !!
Y ?
 
Very funny mr. Hasheem, I would like to pose u a question 'what would be your reaction if the qirlfrien has a habit of searching your purse, pockets etc etc?
Privacy is a huma right issue so my dear friend unless she allows u to play about with her cellphone otherwise u have no right to view her phone.
 
Wewe kwenye simu yake unatafuta nini nikuulize?? Mtu hana uhuru na simu yake kisa mapenzi??? Nikuulize kama kungekuwa hakuna simu akawa anaandikiana barua ungeenda post office kuchukua barua zake na kuzisoma au vipi??? Ulimpenda yeye au simu yake ndo unaipenda zaidi?? Kuchungwa kwingine hata hakufai kabisa wacha mtu aishi maisha yake kwa raha bwana na wewe pia ishi yako umempenda amekupenda mnapendana PERIOD and you let the love flow in the air.

AAAAAAAGH am getting pissed off with this mobile phone issues kwenye mapenzi.............
 
kanuni ya kwanza ya mapenzi heshima mbele simu yake nini na wewe.

Ujiamini na wewe yako anagusa, mpe muda labda kuna zimwi la kale anataka kulimaliza bila wewe kujua. its nice ukimpa mtu ka private chake ila uwe na darubini yako muda wote.

haha nimecheka mie ..Masai nimesoma signatory yako pole sana !!
 
Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?

Bro hasheem hilo ni bomu litalipika wakati wowote kaa tayari wasi wasi ndiyo akili ndugu oooh! Hata me ilishanitokea miaka hiyo tena kwa style hiyo hiyo ila alifanya mistake alinipa simu yake siku moja nikaichaji! Aisee nilicho kikuta humo nilijuta kumpa moyo wangu, chakula kikawa hakishuki, kazi nikashindwa kufanya & ye alikuwa anakula kuku na watu wake! Take care mtu wangu wanawake si wakuamini moja kwa 1, Love them all but trust No one! Napenda kuwasilisha mada!
 

Hapo kwenye red hapo.....Ndio maana mimi siku hizi natembea na landline kiunoni, sina mobile phone!
 
huyu mpenzi wako naye inaonyesha ni mwingi wa habari kwanini simu iite yeye anatoka nje
inawezekana wewe usishike simu yake hiyo ni sawa kwa vile hajiamini je na hiyo ya kutoka nje..
anamaanisha hataki usikie anachoongea !!
Y ?
Tupo pamoja dadaa hapooo kwenye kutoka nje kuna nini cha kuficha? Hilo changa la macho mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…