Sina adui, nipo humu JF kwa malengo

Sina adui, nipo humu JF kwa malengo

Kupata Habari na kufurahi na watu.

Shida ya kuona nachukiwa ilianza nilipoandika mabandiko ya kukemea Unyonyaji wa sehemu za siri.

NAAPA.! Sijawahi kutukanwa hapo kabla, nilipoanza kuandika mabandiko ya kukemea Unyonyaji wa sehemu za siri ndio nikawa natukanwa sana.

Ni experience mbaya sana, sijawahi kuishi mazingira ya watu wenye matusi hapo kabla. Niliumia sana kutukanwa lakini jana nahisi kuna shetani alinipata nikashindwa kujizuia pindi nilipotukanwa na mdau mmoja humu, aliniambia maneno haya "Kama nipo free anataka kunipa 350k us dollars ili nifanywe mchezo wa sodoma".

Niliishiwa nguvu nilijikuta natetemeka kwasababu yule jamaa ni mtu ambae nilikuwa namuheshimu sana.

Nilishindwa kujizuia nikajikuta namtukana (KOSA NILIFANYA), niliona tusi halitoshi kwahyo nikamwambia nitatumia resources zote aombe mungu nisimjue sura yake maana nikimfahamu nitamfanya kitu kibaya.

TOO BAD! Nayeye akajibu kuwa nitaacha kilio.

Niliwazq mengi sana jana nikajilaumu kutamka yale maneno, lakini ilikuwa Too late.

Nikamfuata yule jamaa PM, japo nilimtukana nikaomba radhi.

SINA CHUKI NA MTU, ILA NAHISI KUNA SHIDA MAHALI KWENYE JAMII YETU KUHUSU HESHIMA KWA WENZETU.

Asante.

Ikitokea ukaona najibu mtu vibaya basi tambua kuwa huwa najirudi na kujutia sana.

PEACE

Punguza kiherehere ishi humu Kawaida
 
Sio sahihi lkn huwezi zuia mtu kukutukana, yaani ukiwa mtu wa kiherehere kama lucas mwanshamba design hata mimi huwa natamani kutoa matusi lkn ndo hivyo nashindwa. Be normal
Ukiherere ni nini Mkuu.?

NIELEWESHE ILI NISIJE KURUDIA TENA UKIHEREHERE.
 
Tafuta kamusi.

Ukiona unatukanwa jitafakari. Ipo sababu
Nimekuandikia kilichotokea kwenye post no.23, lakini unaonekana hauna lengo la kunielekeza nilipokosea.

Umeniambia niache kiherehere, na unajua kabisa sababu yamimi kutukanwa ni kuandika madhara ya kunyonyana Uchi.

Unahisi humu JF kuna mada hazipaswi kuandikwa?
 
Nimekuandikia kilichotokea, lakini unaonekana hauna lengo la kunielekeza nilipokosea.

Umeniambia niache kiherehere, na unajua kabisa sababu yamimi kutukanwa ni kuandika madhara ya kunyonyana Uchi.

Unahisi humu JF kuna mada hazipaswi kuandikwa?
Umeanzisha mada ngapi za kunyonya uchi, unadhani hatuna akili kiasi gani hadi tusielewe mada yako ya kwanza?
 
Umeanzisha mada ngapi za kunyonya uchi, unadhani hatuna akili kiasi gani hadi tusielewe mada yako ya kwanza?
Kwahyo kosa langu ni kuandika mada nyingi?

Kwahyo mtu akiandika mada nyingi anastahili kutukanwa.?

KWANINI KAMA NAKUKERA USINI-IGNORE.?
 
That's kiherehere
Asante Mkuu, sidhani kama nina lengine la kukwambia.

Watu kama nyie sio watu wazuri kwa jamii ya JF na mnapaswa kuwa-Ignored.

Bye!

YOU ARE IGNORED BY MJANJA M1
 
Asante Mkuu, sidhani kama nina lengine la kukwambia.

Watu kama nyie sio watu wazuri kwa jamii ya JF na mnapaswa kuwa-Ignored.

Bye!

YOU ARE IGNORED BY MJANJA M1
Yeah fanya kuignore fasta
 
Back
Top Bottom