Sina cha kuandika. Ila nawashwa kuanzisha uzi JF.

Sina cha kuandika. Ila nawashwa kuanzisha uzi JF.

Kuna muda kama huu nakuwa nawashwa kabisa kuanzisha uzi JF lakini nakuwa sina la maana sana la kuandika kwenye huo uzi.

Hebu wataalamu wa kuanzisha nyuzi nipeni idea hapa, nianzishe uzi wa kuhusu nini.

...!!
Jikune kwanza muwasho utoke utapata cha kuandika
 
Idle hands are a devil plaything..., ipe akili yako fodder ya kuchanyata.., jaribu kujiuliza kwanini 2 + 2 ni sawa na 2 X 2 au infinity ni nini au kuna nini at the edge of the galaxy..., vitu kama hivyo vitakufanya uwe busy na ukifanikiwa kutambua huenda ukawa jemedari wa humankind....
 
Back
Top Bottom