Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Una lindaMimi ni kijana me umri miaka 29 naishi mkoa X shida yangu nakosa HAMU ya mpenzi au kufanya MAPENZI Ila Niko rijali kabisa tatizo nikitongoza tu mwanamke akanikubalia hapo nakuwa Sina HAMU nae Tena na siku tukipanga appointment aje geto kabla ya kufika naghairisha asije namwambia nimepata dhalula wakuu itakuwa tatizo Nini au Hali ya kawaida tu au nimerogwa inafika hatua mpaka nyumbani Wana wasiwasi na Mimi hawajawahi kuniona na mwanamke
Naomba kuwasilisha[emoji119][emoji119]
Inatokeaga hii kwa mwanamke aliyenisumbua sana. Mm nipo straight forwad huwa sizunguki ss mabinti wanapenda mtu anayezungukaMimi ni kijana me umri miaka 29 naishi mkoa X shida yangu nakosa HAMU ya mpenzi au kufanya MAPENZI Ila Niko rijali kabisa tatizo nikitongoza tu mwanamke akanikubalia hapo nakuwa Sina HAMU nae Tena na siku tukipanga appointment aje geto kabla ya kufika naghairisha asije namwambia nimepata dhalula wakuu itakuwa tatizo Nini au Hali ya kawaida tu au nimerogwa inafika hatua mpaka nyumbani Wana wasiwasi na Mimi hawajawahi kuniona na mwanamke
Naomba kuwasilisha[emoji119][emoji119]
Kama mimiKunawatu wanatamani hizo fursa za kukubaliwa ziwafikie😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaogopa [emoji3][emoji3]
Au ndo ta ta ta ta waarabu hao hapo
Mtu mwenye wito anatongoza???mtumikie Bwana Mungu itakua unawito wewe
Aunt umerudi nimekumiss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kulala tyuuh au zaidi ya kulala?Huna hamu na mapenzi na wanawake?[emoji51]
Chunga sana hizo hamu zako zitakufikisha papaya. Kuna vitu necrophilia (kulala na maiti), bestiality (kuala na wanyama), incest (kulala na ndugu), homosexuality ( kulala na jinsia moja) etc
Nipoo shangaziiiiii [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Aunt umerudi nimekumiss
Tako Mbili.....Wazungu Hao....Unaogopa 😀😀
Au ndo ta ta ta ta waarabu hao hapo
Aseme asaidiweTako Mbili.....Wazungu Hao....
huyo shetani anakua amshawishi lkn kabla hajadondoka dhambini hamu inampotea gafla anabadili mwelekeoMtu mwenye wito anatongoza???
Una jini mahaba, go for spiritual checkupMimi ni kijana me umri miaka 29 naishi mkoa X shida yangu nakosa HAMU ya mpenzi au kufanya MAPENZI Ila Niko rijali kabisa tatizo nikitongoza tu mwanamke akanikubalia hapo nakuwa Sina HAMU nae Tena na siku tukipanga appointment aje geto kabla ya kufika naghairisha asije namwambia nimepata dhalula wakuu itakuwa tatizo Nini au Hali ya kawaida tu au nimerogwa inafika hatua mpaka nyumbani Wana wasiwasi na Mimi hawajawahi kuniona na mwanamke
Naomba kuwasilisha🙌🙌
Watu tunaingia gharama na bado tunatoswa kupewa mbususu daaah! Kweli dunia haiko fairKunawatu wanatamani hizo fursa za kukubaliwa ziwafikie😂