manyike dede
Member
- Jul 10, 2016
- 37
- 19
[emoji15] [emoji15] [emoji15] tusi tena.pumbu xana wee jamaa###una undugu na voda
kojoa ukalale ww#####[emoji15] [emoji15] [emoji15] tusi tena.
Ikitokea hivi kwenye simu chukuwa, ila ikikutokea hivi kwenye account yako benki kausha usizitowe, zitakuletea shida.Nirushie hizo laki3 nikusaidie kutoa huku
Eti ee.. Basi poaIkitokea hivi kwenye simu chukuwa, ila ikikutokea hivi kwenye account yako benki kausha usizitowe, zitakuletea shida.
...dah.,ni uwoga ama nini.Ikitokea hivi kwenye simu chukuwa, ila ikikutokea hivi kwenye account yako benki kausha usizitowe, zitakuletea shida.
Nikitupa si ntajitesa Mimi na ninao wasiliana naoTupa laini
Vale nimekumis naomba namba yako diaNirushie hizo laki3 nikusaidie kutoa huku
Hata sina namba wala cmVale nimekumis naomba namba yako dia
suburi kwa mda au wapigie voda wakueleze...sio vizuri kama ni ya mtu mwingineLeo nimeamka nimechoka sina pesa afu nilikuwa nahitajika mbali kdogo na hapa nilipo. Kwenye mpesa nilikuwa na balance ya sh 11000 hv.
Baada ya kutoa nakuta salio lililo bakia no sh laki 3na 40 duuh sa sijui hapo mtu kawrong kutuma au ofa ya mpesa. Naogopa hata kuitoa. Msaada wenu niifanyaje
valentina hiyo sio tabia nzuri rafiki...Nirushie hizo laki3 nikusaidie kutoa huku
Si ninakusaidia jamanivalentina hiyo sio tabia nzuri rafiki...
unamsaidia matumizi ya pesa??Si ninakusaidia jamani