Sina hamu na wadada wa kizungu

Peleka uongo huko,mzungu akipenda anapenda ,na angefanya juu chini angeondoka na ww.ebu nenda kule ukawaambie uongo hapa.au kwa kuwa ulimnunua mzungu pale masaki ,unakuja na stori kibao humu.wanaume wa dar bure kabisa
 
Sasa mkuu umeachiwa vyote hivyo bado unalalamika? Na nguo zake kakuachia uvae... Sasa ulitaka akupe nini zaidi?
Hebu muulize wewe mkuu. Au jamaa alitaka na yeye aende Ureno? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hutakiwi kulalamika wala kuumia,dunia ni kijiji na cha muhimu ni uwe na noti tu;funga safari nenda kamsalimie nadhani ukiwa na 5M huwezi kuaibika
 
Jamani hamuogopi chawa wa kizungu??? Na mbona kila mtu anaomba nguo tu hamuombi gari maana mtoa mada kasema alikuwa hataki alivyoachiwa bali alikuwa anamuhitaji mwanamke tu.🙂🙂🙂🙂

Ha ha ha

Hao chawa tutawaua kwa sabuni na pasi.

Gari huyu hawezi kutoa, nguo kwakuwa ni za kike halafu kasema zinajaa Lori sasa akigawa japo kidogo kwa Kila atakaye zitatosha.
 
Vipi Mkuu.alikuachia ngoma pia au hiyo aliondoka nao?

Kweli Wewe ni Konki konki oil chafu.,hukujua kwamba huyo ni foreigner na siku zao zinahesabikaga
 
Ha ha ha

Hao chawa tutawaua kwa sabuni na pasi.

Gari huyu hawezi kutoa, nguo kwakuwa ni za kike halafu kasema zinajaa Lori sasa akigawa japo kidogo kwa Kila atakaye zitatosha.
Hizo nguo mtasubiri sana hadi awape huyo.
 
Nguo zooote naweza kukupa
Bro usinisahau na mimi hapo nagongea kwenye mgao japo nimedandia tren kwa mbele lkn husema kidhuriii kula na wenzako. Kuhusu kama bado unampenda sana njoo Tanga, Sumbawanga, Tarime huwa kuna huduma ya kumvuta mpenzi alie mbali ila sijajua kama mzungu analogeka au mizimu haitambui wazungu
 
Acha ushamba ww,ulifunga nae ndoa mpaka uumie ivyo, ndoa ni kifungo,yan kama hakuna talaka inamaana huezi pa tena... furahia sababu umeachiwa vitu vya kuanza maisha na mke wako mpya
 
Ndio tabia yake huyu..! Kila anapokwenda, anaacha vitu...!
 
Pole sana mkuu. Ila mwana kinachoniboa madem wa kizungu ni nywele aisee. Yani mkikaa geto nywele kwenye sinki, kapeti, mdomoni , kitandani dah. Umenikumbusha mbali sana chief.
Nywele wanawake wote wanazo, tena bora ule za mzungu zinaoshwa kila siku, sio hizi za kina Asha tingisha au Mwajuma tentemete kuoshwa mara moja kila baada ya miezi mitatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…