Sina hamu na wadada wa kizungu

Dada sijapenda comment yako
Kwani hukujua kuwa ataondoka siku moja? unaweza kumfata aliko ila pia ni heri ukalia kwenye range kuliko kwenye baiskeli, washa mkoko ulioachiwa ukapunga upepo beach
 
Alihaidi kukuoa na kukupa maisha mazuri nini?
 
Mkuu naomba unigawie mie izo nguo nikawauzie dada zetu huku mtaani
 
Sasa mkuu umeachiwa vyote hivyo bado unalalamika? Na nguo zake kakuachia uvae... Sasa ulitaka akupe nini zaidi?
Ha haaa.. We jamaa bhana..siyo kwamba ameachiwa ili Hzo nguo atumie kuwaonga mademu zake wapya
 
Fa
Pole sana mkuu. Ila mwana kinachoniboa madem wa kizungu ni nywele aisee. Yani mkikaa geto nywele kwenye sinki, kapeti, mdomoni , kitandani dah. Umenikumbusha mbali sana chief.
Tufafanulie sisi tunaokula akina Asha ngedele..
 
Mkuu mi nahitaji hiyo computer na fridge kama unaviuza nitafute
 
kwani hukujua kuwa ataondoka nchini siku moja? unaweza kumfata pia
Huku kwetu kuna msemo ni heri kulia kwenye range kuliko kwenye baiskeli, jifute machozi washa mkoko ulioachiwa nenda ukabarizi upepo beach bwana.
Haaaaaa aya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…