Sina hamu na wadada wa kizungu

Sina hamu na wadada wa kizungu

Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania.

Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo tofauti duniani. mwezi wa pili mwaka Jana kuna dada aliletwa ni mzungu, basi alipangwa kwenye kitengo ambacho nipo mimi.

Baada ya muda tulizoeana na yule dada yaani me ndo nilikuwa rafiki yake na kama ndugu, huyu dada alikuwa kapanga nyumba nzima apa Dar, baada ya muda mazoea yalizidi tulijikuta tushakuwa wapenzi, kwa kweli alinipenda na mimi nikampenda, inshort tulienjoy na tukapeana promise kibao.

Mwezi wa 8 mwaka huu alipata safari ya kikazi akaniachia kila kitu ili niwe naviangalia aliniachia nyumba yake pamoja na gari, usiku wa tarehe 17 mwezi wa10 sitausahau kwani aliniambia ukweli kuwa ameamishwa kikazi na amepelekwa Lisbon-Ureno, aliniambia aliogopa kuniambia akiwa TZ eti ningeumia sana na huenda ningemfanyia ujuma ili asihame, nilipo muuliza Manager akaniambia kuwa yele dada ameamishiwa ureno na harudi tena bongo.

Yaani nimeumia saaaaaaana, yule dada akaniambia kila kitu alichoacha nichukue ameacha vitu vingi Kama Gari, nguo zake unaweza jaza Lori, na vitu vya ndani, fridge, computer, n. k na kuniambia nimwambie baba mwenye nyumba kuwa mpangaji wake harudi tena, kwakweli nimemjibu kuwa nilikupenda wewe hvyo vitu vyako sivipendi.

NB. Wanaume tusikurupuke na wasichana wa kizungu.
Dunia ni kijiji, kama kweli alikuwa Mpenzi wako Lisbon, Ureno kuna umbali gani asikwalike uende kumtembelea ? By the way kwa nini ulimchelewesha hukumpa mimba !!! Vijana wa Arusha huwa hawafanyi makosa kama hayo yako.
 
Dunia ni kijiji, kama kweli alikuwa Mpenzi wako Lisbon, Ureno kuna umbali gani asikwalike uende kumtembelea ? By the way kwa nini ulimchelewesha hukumpa mimba !!! Vijana wa Arusha huwa hawafanyi makosa kama hayo yako.
Ntafanyia kazi ushauri wako
 
Yeye alikuwa anakutumia tu wakati yupo bongo shukuru walau amekuachia mtaji. Ukapime na ukimwi tu pengine hizo ndo zake, huko Ureno tayari keshapata jamaa mwingine.
Sina ngoma bwana
 
Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania.

Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo tofauti duniani. mwezi wa pili mwaka Jana kuna dada aliletwa ni mzungu, basi alipangwa kwenye kitengo ambacho nipo mimi.

Baada ya muda tulizoeana na yule dada yaani me ndo nilikuwa rafiki yake na kama ndugu, huyu dada alikuwa kapanga nyumba nzima apa Dar, baada ya muda mazoea yalizidi tulijikuta tushakuwa wapenzi, kwa kweli alinipenda na mimi nikampenda, inshort tulienjoy na tukapeana promise kibao.

Mwezi wa 8 mwaka huu alipata safari ya kikazi akaniachia kila kitu ili niwe naviangalia aliniachia nyumba yake pamoja na gari, usiku wa tarehe 17 mwezi wa10 sitausahau kwani aliniambia ukweli kuwa ameamishwa kikazi na amepelekwa Lisbon-Ureno, aliniambia aliogopa kuniambia akiwa TZ eti ningeumia sana na huenda ningemfanyia ujuma ili asihame, nilipo muuliza Manager akaniambia kuwa yele dada ameamishiwa ureno na harudi tena bongo.

Yaani nimeumia saaaaaaana, yule dada akaniambia kila kitu alichoacha nichukue ameacha vitu vingi Kama Gari, nguo zake unaweza jaza Lori, na vitu vya ndani, fridge, computer, n. k na kuniambia nimwambie baba mwenye nyumba kuwa mpangaji wake harudi tena, kwakweli nimemjibu kuwa nilikupenda wewe hvyo vitu vyako sivipendi.

NB. Wanaume tusikurupuke na wasichana wa kizungu.
Naomba kama kuna mzungu mwingine hapo unipe namba yake mm huwa nawapenda sana maana mademu wa kizungu kwanza wana nauli na sio dependant kama mademu wa kibongo
 
Hi story ni chai wakongwe wenye intelijensia na kuona kwa jicho la tatu tumeshagundua
 
Hivi humu hayupo Mzee wa Tabora akufyekelee mbaliiii.....

So what baada ya stori yako!?
 
Bora yawazungu muraa, wabongo wakipata safari au wakitaka kukuacha watakusafisha geto Zima yaani wanahakikisha unaanza upya kabisa
 
Nikusaidie wazo jamaa yangu. Hawa wenzetu wako tofauti na sisi. Hicho ni kipimo kidogo tu kwako. Kama anakupenda kwa dhati,hivi anafanya mpango wa kimya kimya juu yako,hawezi kukuacha juu kwa juu kihivyo,niamini,ana mpango mzuri tu juu yako. Usiache kuwasiriana naye. Usichukulie hasira. Umemwambia vizuri kwamba ulimpenda yeye si vitu vyake. Hizo nguo chukua,zitunze hata mwaka tu,baada ya hapo,wagawie ndugu kama wapo,zinazowatosha,zingine zipeleke vituo vya watoto yatima. Mwambie nae unazipeleka kwa watoto yatima. Usionyeshe chuki kubwa dhidi yake. Vitu vingine vichukue tu endelea kuvitumia. Ila tu angalizo usikae ukabweteka bila kuendeleza mishe zako zingine. Yafanye maisha yako kama kawaida
Comment ya ukweli sana hii [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hizo nguo nimeweka oda ya robota 5, nakuja kuchukua mzigo wadau wa kariakoo wapendeze.
 
Nasikia papuchi za kizungu za baridi, VIP ya huyo ilikuwa ya moto mpaka imekudatisha?
 
Hawa wageni wanaokuja kufanya kazi nchini kwetu kwa mikataba asilimia kubwa ni majanga,wanaanzisha mahusiano na mtu ghafla anakuacha solemba hasa kwa sisi wanawake ndio tunapata madhara makubwa anakutia mimba kunauwezekano akakukimbia akakuachia mzigo wake au ukafanikiwa ukajifungua siku si siku anasema anakuachia jukumu la mtoto pekee ako,kuna wanawake wapo wamezalishwa na wachina,wahindi nk wanalea pekee yao hata haelewa pakumtafutia baba mtoto,ww shukuru kuzaliwa mwanaume angekuachia mimba au mtoto ulee pekee ako,ila sijui kwann hawa watu wanakuwa wanamapenzi ya kweli na ya dhati sanaaa
 
Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania.

Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo tofauti duniani. mwezi wa pili mwaka Jana kuna dada aliletwa ni mzungu, basi alipangwa kwenye kitengo ambacho nipo mimi.

Baada ya muda tulizoeana na yule dada yaani me ndo nilikuwa rafiki yake na kama ndugu, huyu dada alikuwa kapanga nyumba nzima apa Dar, baada ya muda mazoea yalizidi tulijikuta tushakuwa wapenzi, kwa kweli alinipenda na mimi nikampenda, inshort tulienjoy na tukapeana promise kibao.

Mwezi wa 8 mwaka huu alipata safari ya kikazi akaniachia kila kitu ili niwe naviangalia aliniachia nyumba yake pamoja na gari, usiku wa tarehe 17 mwezi wa10 sitausahau kwani aliniambia ukweli kuwa ameamishwa kikazi na amepelekwa Lisbon-Ureno, aliniambia aliogopa kuniambia akiwa TZ eti ningeumia sana na huenda ningemfanyia ujuma ili asihame, nilipo muuliza Manager akaniambia kuwa yele dada ameamishiwa ureno na harudi tena bongo.

Yaani nimeumia saaaaaaana, yule dada akaniambia kila kitu alichoacha nichukue ameacha vitu vingi Kama Gari, nguo zake unaweza jaza Lori, na vitu vya ndani, fridge, computer, n. k na kuniambia nimwambie baba mwenye nyumba kuwa mpangaji wake harudi tena, kwakweli nimemjibu kuwa nilikupenda wewe hvyo vitu vyako sivipendi.

NB. Wanaume tusikurupuke na wasichana wa kizungu.
Aiseeeee hii jf ina mambo yaani umeachiwa mali kibao eti unaumia hadi gari au kuna mtu unamtafuta humu kiaina.
 
Back
Top Bottom