Sina hamu ya kufanya mapenzi

Sina hamu ya kufanya mapenzi

Wasalaam ndugu..
Naamini nko na afya njema kabsa. Ngoja nianze hivi..ni muda kama wa wiki tatu sasa hali ya kukosa hamu ya kufanya mapenzi ipotee kabsa mwilini..mwanzo niliona kawaida ila sasa naona litakua ni tatizo mana inafika kipindi hata mnara hausomi kabsa hata kidogo..nilijifikiria labda ni kwa sababu sina mpenzi..ila juzi nliamua kwenda club nikaomba kucheza na mdada mmoja ambae najua atani stimulate..lakini pamoja na hayo yote mnara uligoma kushika mawimbi..nimejiuliza sana tatizo nini ila nimeshindwa pata jibu.."Mganga hajigangi" naombeni uchambuzi kuhusu hili..

"Dare to talk openly"
Piga puli
 
Hivi akili ya kutamka hivo kwa mwanaume aliyekuomba ushauri unaitoa wapi? Kweli Watanzania ndo sisi kweli? Angekuwa ni Mdogo wako ungemjibu hivyo kweli au ungemshauri aende hospitali? Aisee brother umekosea sana.

Hayo ni maoni yako, nimeuliza swali jibu linatakiwa liwe ndio au hapana! Mbona ngonjera nyingi?
 
Je ww ni mwanachama wa CHAPUTA!??
Si kweli mkuu ukiwa mwanchama chaputa eti ndo mnara usisome aaa wap mi ninavyojua PULi yenyewe huweka sugu kwenye kichwa cha uume hivyo kupelekea tatizo linaloitwa (delayed ejaculation) au kuchelewa kumwaga na pia huongeza uume kwa inchi moja hadi moja na nusu ( ni sawa na zoezi la JELQING)
 
fanya jaribio hili sasa.... nenda na demu gesti kabisa... ukiona mnara umeshindwa kusoma kabisa na hapo ujue kuna kitu hakipo sawa..!!!
 
hili ni tatizo la kawaida sana kama una stress(hata mimi hunitokeaga sana)lisikuumize kichwa litaisha tu..ila inaonekana unapenda ngono sana mkuu
 
Back
Top Bottom