Sina hamu ya kufanya mapenzi

Du hii kali,mwanaume analalamika hapati hamu ya mapenzi mkuu fanya juhudi utatue hili tatizo mapema utamu usije ukahamia kwako ukashughulikiwa maana haya mambo ni magumu. na pia mwanaume wa kweli hajipimi kudindisha kwa kucheza mziki na mdada,Hisia za mapenzi hutoka moyoni sio kwa kucheza mziki
 
Wewe ni memba wa CHAPUTA [emoji126]
 
Una dalili ya kuoka ndugu yangu. Bora ungekuwa hivo tangu siku mingi ungeingia mbinguni direct wengine hio mambo ndio inatuzuia kuingia mbinguni ww unalilia. Ila pia nia ajabu fulani hivi kwa mwanaume Majengo ya Mkemia wa Phd Amazing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…