new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Unatumia dawa yoyote?habari wana jf mim nikijana wa kiume, ebwana nimekumbwa na tatizo la kutokua na hamu ya kukutana kimwili na mwanamke, before sikua nalo hili tatizo, ila kwasasa ninatatizo hilo kiasi kwamba naogopa hata kukutana na mpenzi wangu, lakini pia katika maisha yangu nilisha wahi kupiga punyeto kabla ya kua na huyu binti, lakin pia kama miezi mitatu iliyopita niliugua uti wa mgongo, but nimepona na tangu nilipo pona nimetokewa na hili tatizo la kutokua na hamu ya mapenzi, lakin pia nina tatizo lingine lakuto kuona my morning wood (uume wangu hausimami asubuh) so please naombeni msaada wa tatizo langu, ninashida ndugu zangu.
habari wana jf mim nikijana wa kiume, ebwana nimekumbwa na tatizo la kutokua na hamu ya kukutana kimwili na mwanamke, before sikua nalo hili tatizo, ila kwasasa ninatatizo hilo kiasi kwamba naogopa hata kukutana na mpenzi wangu, lakini pia katika maisha yangu nilisha wahi kupiga punyeto kabla ya kua na huyu binti, lakin pia kama miezi mitatu iliyopita niliugua uti wa mgongo, but nimepona na tangu nilipo pona nimetokewa na hili tatizo la kutokua na hamu ya mapenzi, lakin pia nina tatizo lingine lakuto kuona my morning wood (uume wangu hausimami asubuh) so please naombeni msaada wa tatizo langu, ninashida ndugu zangu.