sina hamu ya mapenzi

Unatumia dawa yoyote?
 

pole sana, kwani kabla ya hapo ulikuwa unapataje hamu ya mapenzi? ( yaani nini tofauti yake na leo). Je ulikuwa kila ukiamka mdudu yuko juu, was it daily? je umekuwa na mpz wako imekatakaa kusimama? Nyeto umeacha lini? baada kujibu ndo tutaanzia hapo, pengine unjushuku!!
SP
 
Leo tafuta muumini (demu) umfanyie mazoezi. Huenda ni utulivu tu ww unadhani huna hamu
 
mkuu kama ulipata tatizo la uti wa mgongo basi kuna probability kubwa kwamba ndio itakuwa chanzo maana kusimama kwa mashine kunasababishwa na parasympathetic innervation zinazotoka kwenye uti wa mgongo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…