Game saa ngapi?Niwaambie tu Mashabiki wa Yanga kuwa ondoeni hofu, leo ni siku ambayo
itakuwa chungu kwa Wazambia hao kwani watabanduliwa kwenye michuano
kwa idadi nzuri tu ya magoli.
Kama hiyo mechi itarushwa nawaambia hata wale wenye Presha waitazame
leo ni siku ya furaha kwelikweli.
Shaur yako, yatakukuta yalomkuta kanjunju johnNimeweka mezani laki moja na wadau wwili wa simba ambao wameweka
50,000 kila mmoja
Half time bila bilaGame saa ngapi?
Game inaonyeshwa wapi mkuu?Half time bila bila
TBC1_CCMGame inaonyeshwa wapi mkuu?
Labda shirikisho la vyuo vikuuTunaenda shirikisho men
RadioGame inaonyeshwa wapi mkuu?
0-0 Dakika 90Jamani updates kuhusu ndala kupigwa