Sina hofu hata kidogo, leo ZANACO inang'olewa na Yanga


Muwe mnaangalia na Timu za kuzipigia upatu tafadhali.
 
Mwenye huu uzi yupo wapi...Kamanda Sirro, kamata huyu teja
 
Hongera Timu Yangu Ya ZANACO kwa Kuwarudisha Madimbwini Kwao Hawa Vyura FC...
 
Leo utaishangaa Yanga, pia utaiogopa


Upo Sahihi! Leo Nimeishangaa Kweli YeboYebo FC Kwa Kujiita Wakimataifa Wa Kugawa Uroda Kwa Wageni Kama Alivyofanya Kwa Kidume Zanaco Kumuachia Utamu Aendelee Na Safari...
 
Upo Sahihi! Leo Nimeishangaa Kweli YeboYebo FC Kwa Kujiita Wakimataifa Wa Kugawa Uroda Kwa Wageni Kama Alivyofanya Kwa Kidume Zanaco Kumuachia Utamu Aendelee Na Safari...
Wapi wewe, bila shaka umehofu maana kumdindia bingwa wa zambia si mchezo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…