Niwaambie tu Mashabiki wa Yanga kuwa ondoeni hofu, leo ni siku ambayo
itakuwa chungu kwa Wazambia hao kwani watabanduliwa kwenye michuano
kwa idadi nzuri tu ya magoli.
Kama hiyo mechi itarushwa nawaambia hata wale wenye Presha waitazame
leo ni siku ya furaha kwelikweli.
Leo utaishangaa Yanga, pia utaiogopa
Wapi wewe, bila shaka umehofu maana kumdindia bingwa wa zambia si mchezo?Upo Sahihi! Leo Nimeishangaa Kweli YeboYebo FC Kwa Kujiita Wakimataifa Wa Kugawa Uroda Kwa Wageni Kama Alivyofanya Kwa Kidume Zanaco Kumuachia Utamu Aendelee Na Safari...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yanga Bashite Zanaco bashite