Sina Imani na Akili ya Rais wa Yanga SC

Sina Imani na Akili ya Rais wa Yanga SC

Ile Club imekaa ki cheki bob sana

Hersi inaonekana ni mtu fulani anayependa sana umwinyi ndio maana wale minions wanakesha kumtukuza.

Feisal amefanya kila jitihada kuhakikisha anaondoka pale lakini wao wametia ugumu, TFF nayo haikuwa msaada zaidi ilionekana ndio mkandamizaji wa haki.

Yanga moja ya madai yao kuonesha Feisali hakufata utaratibu ilikuwa ni pamoja na kusema alivunja mkataba bila kuhusisha TFF.

TFF imeamua kuwa Feisali ni mchezaji wa Yanga, haya basi dogo ametii hukumu ya mahakama amekubali kuwa ni mchezaji wa Yanga.

Sasa kwasababu ni mchezaji wa Yanga, anaamua kuleta barua TFF kuvunja mkataba. TFF inakuja na majibu kuwa Feisali ni mchezaji wa Yanga. How?

Raisi wa Yanga ni Muhuni Na ameshindwa kuonesha skills za uongozi badala yake Ametaka kushindana Na inaonekana kuna timu ya chawa Na wazee wa ndjo Mzee ndio wanamtia ujinga Na kumpa ushauri mmbovu
 
Kuhusu mshahara hatuwezi kulisema sana kwasababu hata mchezaji mwenyewe ana kiri kuwa alikuwa ana ridhika.

Na sababu ya yeye kusepa haikuwa mshahara

Ila mimi na wewe ndio tuangalie, hivi kweli hata kama alisaini mwenyewe ina maana kile anachokupa uwanjani kinathamani sawa na unachomlipa?

Value ya mchezaji ni uwezo, kutopata majeraha ya muda mrefu, na umri mdogo hivi vitu vyote Feisali anavyo.

Hao wengine wanaochukua mara tano ya mshahara wake je wamefikia hivyo vigezo?

I agree with you ; yaani kama kiongozi tusitake advantage kwa sababu ameridhika
Kwanza hii ni hatari kwa sababu mchezaji ni rahisi kushawishika kwa ofa kubwa endapo watu wanaomuhitaji watamtaka

Ni lazima ufanye balance na ratio Mara kwa mara kulingana na mtu anacho Offer ..... vinginevyo ni urobot
 
We ni nani paka uwe na imani na akili ya raisi wa klabu kubwa nchini Tanzania ya Yanga?
Raisi ambaye Klabu yake imebeba makombe yote yanayoshindaniwa nchinini Tanzania kwa miaka miwili mfululizo na imefika fainali ya Cafcc.

Wewe unajulikana ni shabiki wa mbumbumbu. Endelea kuielewa akili ya mwenyekiti wako ndugu mangungu, Haya ya Yanga hayakuhusu
 
We ni nani paka uwe na imani na akili ya raisi wa klabu kubwa nchini Tanzania ya Yanga?
Raisi ambaye Klabu yake imebeba makombe yote yanayoshindaniwa nchinini Tanzania kwa miaka miwili mfululizo na imefika fainali ya Cafcc.

Wewe unajulikana ni shabiki wa mbumbumbu. Endelea kuielewa akili ya mwenyekiti wako ndugu mangungu, Haya ya Yanga hayakuhusu

Klabu Kubwa ? ipi?


Ipi ; Klabu kubwa ungetolewa Preliminaries kwenye Champion ligi. Umeenda shirikisho umekutana na hopeless team ........ timu hazina hata fedha ya kusafiria, nyingine zinashuka daraja....... let the dead bury the dead
Tunarudi championship: utuoneshe ukubwa wako
 
Huna akili wewe ni mbumbumbu ,mkataba ni makubaliano naona ya pande mbili hashikiwi mtu bunduki. Mbona ulaya Mane alikuwa anazidiwa mshahara na wachezaji wengi wa kawaida pale Liverpool ?
Kumbe wewe ni utopolo lia lia halafu unajifanyaga humu we ni shabiki wa azam kweli mwiko huko nyuma haufichiki
 
We ni nani paka uwe na imani na akili ya raisi wa klabu kubwa nchini Tanzania ya Yanga?
Raisi ambaye Klabu yake imebeba makombe yote yanayoshindaniwa nchinini Tanzania kwa miaka miwili mfululizo na imefika fainali ya Cafcc.

Wewe unajulikana ni shabiki wa mbumbumbu. Endelea kuielewa akili ya mwenyekiti wako ndugu mangungu, Haya ya Yanga hayakuhusu
Toa huo mwiko huko nyuma ufanye digestion nzuri ya hii thread upate kumjibu vizuri mleta mada
 
Kumbe wewe ni utopolo lia lia halafu unajifanyaga humu we ni shabiki wa azam kweli mwiko huko nyuma haufichiki
Wapi nimesema mimi utopolo ? mimi sina ushabiki wa mhemko na wakidunduka japo Azam lialia lakini kwenye ukweli na soka safi lazima niseme ?
 
Kuhusu mshahara hatuwezi kulisema sana kwasababu hata mchezaji mwenyewe ana kiri kuwa alikuwa ana ridhika.

Na sababu ya yeye kusepa haikuwa mshahara

Ila mimi na wewe ndio tuangalie, hivi kweli hata kama alisaini mwenyewe ina maana kile anachokupa uwanjani kinathamani sawa na unachomlipa?

Value ya mchezaji ni uwezo, kutopata majeraha ya muda mrefu, na umri mdogo hivi vitu vyote Feisali anavyo.

Hao wengine wanaochukua mara tano ya mshahara wake je wamefikia hivyo vigezo?
Mbona Sawadogo anachukua mpunga mrefu kuliko mzamiru na hupigi kelele ?😂😂😂
 
Klabu Kubwa ? ipi?


Ipi ; Klabu kubwa ungetolewa Preliminaries kwenye Champion ligi. Umeenda shirikisho umekutana na hopeless team ........ timu hazina hata fedha ya kusafiria, nyingine zinashuka daraja....... let the dead bury the dead
Tunarudi championship: utuoneshe ukubwa wako
Huyu msomali anawatesa Sana watu. Engineer shikilia hapohapo 😂😂😂
Fx4N-X8WwAArlR8.jpg_large.jpg
 
Ukiangalia mpunga anaokula Aziz Ki, Morrison, Mayele na wengineo yalikuwa ni matusi makubwa sana kwa wachezaji wazawa na kwa kiwango ambacho kimeoneshwa na Fei Toto.

Fei alikuwa ana offer more than Aziz Ki au huyo mabangi Morrison ambaye hata game hachezi consistent huku akiwapiga pesa Simba na Yanga kijinga sana. Kisinda hopeless Kabisa lakini nae anakula salary zaidi Fei.

kama Rais wa Klabu na kama angekuwa ni well brained for the country interest; he should have seen kuwa kuna haja ya kumpromote Salum na kufanya amendement kwenye mkataba kwa kuwa kiwango chake kimepanda regardless ya life span ya mkataba.

Hii ingeonesha uzalendo na ku promote vipaji vya ndani hasa ukizingatia wengi wanakuwa watoto na hawana exposure wala wasimamizi. They need to learn na kuwa guided.

Kukosa exposure na mental strength kwa hawa wachezaji wa ndani wenye uwezo isiwe sababu ya ku take advantage.

Ni Ujambazi na Umafia wa hali ya juu uliyofanywa na Rais wa Yanga dhidi ya kipaji cha ndani, na hakika ungeendelea kujitia much know, nadhani mogadishu ulikuwa unaichungulia in a very serious note.

Ifike mahali TFF wachaguliwe viongozi wenye THINKING, tumejaza mautumbo utumbo na mabogus hapo TFF, ni lazima TFF itafute namna bora ya kupromote na ku protect mikataba na Maslahi ya wachezaji wa ndani kwa kuwa huu ndjo msingi wa kuwa na timu bora ya Taifa.

Ni aibu kwa TFF na Yanga suala kama la Fei kuamuliwa na Rais wa JMT, kuna haja ya kufanya maboresho kwenye uongozi wa TFF.

TFF mna homework, mnatakiwa kutengeneza mfumo imara kwa wazawa na kuhakikisha mikataba yao ina clause ya kuwaweka huru au kufanya amendement ya posho zao kulingana na kiwango chake cha sasa na anacho Offer kwenye timu badala ya kufanya kazi kama robot eti nasimamia misingi ya mkataba.

Mkataba aliandika Mungu huo!

Nchi za kiarabu wanatoa vipaji vingi na wana good National Team kwa sababu ya uzawa, there is a very clear line kati ya wazawa na wageni na linapokuja suala la uzawa. Tunaweka utaifa mbele na hii sera ndio ina build mpira kwenye nchi za wenzetu.

Kipaji cha Fei unakiweka nje almost 6 months eti nasimamia misingi ya taasisi. Absurd Kabisa, unakosaje consensus na mchezaji mzawa, huku unamlipa Morrison over 15M, Aziz Ki Over 20M, Fei 4M eti alisaini mwenyewe seriously?

What do they really offer to the club? as compared to Fei?

Fei ananidhamu, kipaji, sio mlevi , ana fundishika and the most important, he has great future in his career path.

La mwisho lakini ambalo sio la mwisho Kabisa, TFF tunawapa ONYO na hii ni RISALA kwenu kaeni chini mtengeneze robust system ambayo itapromote vipaji vya ndani pamoja na kurahisisha ammendement kwa wachezaji wa ndani ambao viwango vimekuwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mikataba ya wachezaji wa ndani sio kandamiza just because wachezaji wetu hawana exposure na wasimamizi.

Maamuzi ya Fei SALUM yalikuwa ni sahihi, kwa wakati sahihi na muda sahihi na mahali sahihi for the national National interest na tuwapongeze Azam kwa kuheshimu vipaji vya ndani period

Megalodon.
Hv hela za kuwalipa unamchangia?
 
Mbona hersi alishapata somo...naona bacca na job mikataba yao imeboreshwa
 
Klabu Kubwa ? ipi?


Ipi ; Klabu kubwa ungetolewa Preliminaries kwenye Champion ligi. Umeenda shirikisho umekutana na hopeless team ........ timu hazina hata fedha ya kusafiria, nyingine zinashuka daraja....... let the dead bury the dead
Tunarudi championship: utuoneshe ukubwa wako
Nimejaribu kukufatilia kuona kama una hoja nimekuja kundua kuwa ni ushabiki ndio unaokusumbua. Timu inayoshuka daraja imewezaje kumtoa timu ya tatu kwenye msimamo wa ligi ya Misri? Au ligi ya Misri kwasasa haina ubora? Timu ipi iliyoshindwa kusafiri kipondi cha mechi za hatua za makundi?
 
Klabu Kubwa ? ipi?


Ipi ; Klabu kubwa ungetolewa Preliminaries kwenye Champion ligi. Umeenda shirikisho umekutana na hopeless team ........ timu hazina hata fedha ya kusafiria, nyingine zinashuka daraja....... let the dead bury the dead
Tunarudi championship: utuoneshe ukubwa wako
Makolo walitaka choma uwanja kwa kuwanga hadharani michuano hiyo hiyo akaishia robo

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia mpunga anaokula Aziz Ki, Morrison, Mayele na wengineo yalikuwa ni matusi makubwa sana kwa wachezaji wazawa na kwa kiwango ambacho kimeoneshwa na Fei Toto.

Fei alikuwa ana offer more than Aziz Ki au huyo mabangi Morrison ambaye hata game hachezi consistent huku akiwapiga pesa Simba na Yanga kijinga sana. Kisinda hopeless Kabisa lakini nae anakula salary zaidi Fei.

kama Rais wa Klabu na kama angekuwa ni well brained for the country interest; he should have seen kuwa kuna haja ya kumpromote Salum na kufanya amendement kwenye mkataba kwa kuwa kiwango chake kimepanda regardless ya life span ya mkataba.

Hii ingeonesha uzalendo na ku promote vipaji vya ndani hasa ukizingatia wengi wanakuwa watoto na hawana exposure wala wasimamizi. They need to learn na kuwa guided.

Kukosa exposure na mental strength kwa hawa wachezaji wa ndani wenye uwezo isiwe sababu ya ku take advantage.

Ni Ujambazi na Umafia wa hali ya juu uliyofanywa na Rais wa Yanga dhidi ya kipaji cha ndani, na hakika ungeendelea kujitia much know, nadhani mogadishu ulikuwa unaichungulia in a very serious note.

Ifike mahali TFF wachaguliwe viongozi wenye THINKING, tumejaza mautumbo utumbo na mabogus hapo TFF, ni lazima TFF itafute namna bora ya kupromote na ku protect mikataba na Maslahi ya wachezaji wa ndani kwa kuwa huu ndjo msingi wa kuwa na timu bora ya Taifa.

Ni aibu kwa TFF na Yanga suala kama la Fei kuamuliwa na Rais wa JMT, kuna haja ya kufanya maboresho kwenye uongozi wa TFF.

TFF mna homework, mnatakiwa kutengeneza mfumo imara kwa wazawa na kuhakikisha mikataba yao ina clause ya kuwaweka huru au kufanya amendement ya posho zao kulingana na kiwango chake cha sasa na anacho Offer kwenye timu badala ya kufanya kazi kama robot eti nasimamia misingi ya mkataba.

Mkataba aliandika Mungu huo!

Nchi za kiarabu wanatoa vipaji vingi na wana good National Team kwa sababu ya uzawa, there is a very clear line kati ya wazawa na wageni na linapokuja suala la uzawa. Tunaweka utaifa mbele na hii sera ndio ina build mpira kwenye nchi za wenzetu.

Kipaji cha Fei unakiweka nje almost 6 months eti nasimamia misingi ya taasisi. Absurd Kabisa, unakosaje consensus na mchezaji mzawa, huku unamlipa Morrison over 15M, Aziz Ki Over 20M, Fei 4M eti alisaini mwenyewe seriously?

What do they really offer to the club? as compared to Fei?

Fei ananidhamu, kipaji, sio mlevi , ana fundishika and the most important, he has great future in his career path.

La mwisho lakini ambalo sio la mwisho Kabisa, TFF tunawapa ONYO na hii ni RISALA kwenu kaeni chini mtengeneze robust system ambayo itapromote vipaji vya ndani pamoja na kurahisisha ammendement kwa wachezaji wa ndani ambao viwango vimekuwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mikataba ya wachezaji wa ndani sio kandamiza just because wachezaji wetu hawana exposure na wasimamizi.

Maamuzi ya Fei SALUM yalikuwa ni sahihi, kwa wakati sahihi na muda sahihi na mahali sahihi for the national National interest na tuwapongeze Azam kwa kuheshimu vipaji vya ndani period

Megalodon.
Feisal alishaapa kuwa hataki kurudi tena Yanga, je unataka Hersi aende kwa Feisal akambeleze? Unataka Hersi ndio akajishushe kwa Feisall kana kwamba hakuna wachezaji wengine?

Mkataba ambao Feisali alikuwa anaangaika kuuvunja, je alisainiwa na nani? Alilazimishwa kukubaliana na hiko kiwango cha mshahara?

TFF unaonaowalau wewe ulipaswa kutaja na vifungu vya sheria ambavyo TFF walishindwa kuvitafsiri au kushindwa kuvifuata. Ukiishia tu kulaumu pasipo kutaja makosa ya kisheria basi haijuii kuhusu sheria.
 
Back
Top Bottom