Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Wewe KE or ME tuanzie hapoSina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Ungemueleza unafanyaje fanyaje HUYO KIJANA nafikiri angejifunza sanaMe sijaajiliwa nimemaliza chuo mwaka 2020 degree ya industrial metrology and standardization, japo nina uhitaji wa ajira ila sijamua kukaa kinyonge.
Huwa nina msemo wangu kuwa SIMU YANGU OFISI YANGU.
Na kweli kupitia simu yangu nimeweza kufanya mambo mengi ya kimaendeleo ambayo ata watu wengine walio ajiliwa hawajafikia.
Kwasasa online business zimekuwa msaada mkubwa sana kwa vijana Hebu jaribu hilo chaka.
Sawa basi akitokea anayetaka kazi km yupo mafisa ntakutag mkuu utoe ajiraHapa Mafisa kwa Mambi Morogoro
Well said..!Maisha NI hatua mkuu
wew si umemaliza CUCOM?Sina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Umenena 100% correct to the dot.Ukiona mambo hayaendi, basi nenda wewe peke yako na uyaache hayo mambo yenyewe.
Daima kumbuka kwamba maisha ni Vita, wala siyo 'lelemama.'
Mungu amsaidie apate kazi !
Mambo inachemka 😿😹😹Sina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
If you do not know where you're going any road will take you thereVua aibu uweke pembeni, hatma ya maisha yako ipo mikononi mwako mwenyewe, siyo kwa wazazi, ndugu au rafiki zako. Vile utakavyoamua kuwa ndivyo utakavyokuwa
Ungekuwa unakaa nyumbani kwangu, haki ya nani ungeenda shamba kwa lazima. Na ungegoma kwenda, ningekutimua au kukunyima chakula.Sina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Ngoja nikusanue uza sm kanunue mayai trei tano kila siku asubuhi Chemsha trei mbili ingia mtaani kwenye mkusanyiko wawatu uza kwenye mabar, vituo vya usafiri hakikisha unakata mitaa, ikifika jioni rudi nyumbani komaa upate pesa ya kununua kingamuzi cha azam na TV ukipata hivyo vitu, tafuta vijana wawili wape wauze mayai wewe anzisha kijiwe uswahilini cha kuuza maziwa fresh, uji wa ulezi na karanga hiyo TV na kingamuzi cha azam iwepo hapo wale wazee na vijana wasiopenda pombe kitakuwa kijiwe chao wanapiga soga uku unafanya biashara ukikomaa na imani kwa siku hutokosa faida elfu 20 na mtaji upo haya elfu ishirini mara 30 sawa na laki sita anza malengo ma kuwanza mambo makubwa zaidi kama kuanzisha kibanda cha chakula nkSina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Naaam naaamAaah kumbe una simu!
Poor Brain