Umri umeenda hujaoa na Huna kitu nao ni ujinga usisahau iloKuoa wakat huna kitu ni ujinga
Sasa huna kitu unaoa ili iwaje kwa mfano? Unataka ukifa mkeo na watoto zako waje kwenye kaburi lako kukulilia au kukulaani kwa dhiki ulizowaachiaUnakuta mtu hajaoa na maisha hana miaka inaenda 30s hali ngumu mke Hana
Naona kama uoga ndio unatusumbua vijana tuliowengi
Hizo ni akili mkuu, utaoaje huna kitu?Umri umeenda hujaoa na Huna kitu nao ni ujinga usisahau ilo
uzuri chuo hakizui kuo, oa tu kijana, sio uje uoe una miaka 30Unakuta mtu hajaoa na maisha hana miaka inaenda 30s hali ngumu mke hana.
Naona kama uoga ndio unatusumbua vijana tulio wengi.