Sina kumbukumbu kama kuna siku Rais Samia Suluhu Hassan aliwahi kutamka neno Ufisadi!

Sina kumbukumbu kama kuna siku Rais Samia Suluhu Hassan aliwahi kutamka neno Ufisadi!

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Shalom wana Jamii Forum.

Sijui ni kuzeeka vibaya au kuchanganyikiwa. Kila nikirejesha kumbukumbu zangu nyuma, sioni au kuona kama kuna mahali katika hotuba za Rais Samia Suluhu Hassan aliwahi kutamka kinywani mwake neno UFISADI .

Kama yupo mwenye ushahidi atuwekee clipu hapa walau nijue alisema nini kuhusu neno hilo. Alilisemeaje? Binafsi sijawahi kumsikia.
 
Tarehe 11 July 2023 kwenye maadhimisho ya Siku ya Kupambana na Rushwa ya Afrika, alisema Afrika si salama kwa watu wanaojihusisha na vitendo vya ufisadi
 
Shalom wana Jamii Forum.

Sijui ni kuzeeka vibaya au kuchanganyikiwa. Kila nikirejesha kumbukumbu zangu nyuma, sioni au kuona kama kuna mahali katika hotuba za Rais Samia Suluhu Hassan aliwahi kutamka kinywani mwake neno UFISADI .

Kama yupo mwenye ushahidi atuwekee clipu hapa walau nijue alisema nini kuhusu neno hilo. Alilisemeaje? Binafsi sijawahi kumsikia.
'Scratch my back i will scratch yours'... With such words utaweza kusikia neno ufisadi kweli?
 
Kula Kwa urefu wa kamba yako=ufisadi, analitamka kivingine kama kuwapa moyo watu wapige kidogo sio sana wasivimbiwe
 
Hata Magufuli mwenyewe alikuwa anataja ufisadi kama sehemu ya kupora ajenda ya cdm, baada ya cdm wenyewe kuipoteza kirahisi kwa kumkumbatia Lowassa. Hakuna mwanaccm anaweza kutaja ufisadi kwa kujiamini, labda kwa lengo la kuhadaa wajinga.
 
Yeye mwenyewe ni fisadi ataweza kupinga ufisadi?Aliporithi tu urais akaanza kujenga mahoteli ya nyota Tano Kila mikoa mikubwa unayoijua Tz n na Dubai n.k
 
Aliwahi kusema kwenye kitabu chake alichokitoa mwaka 2040, akijutia baadhi ya mambo yaliyofanyika kwenye utawala wake 😎
2040??!
Kama alivyofanyaga Che Nkapa baada ya kumaliza ngwe zake mbili !
Akasema anajuta katika baadhi ya Ubinafsishaji alioufanya !

Lakini sikumbuki kama aligusia kujuta kwenye mikataba ya Madini ya Dhahabu !🙄🙈🙄!
 
Yeye mwenyewe ni fisadi ataweza kupinga ufisadi?Aliporithi tu urais akaanza kujenga mahoteli ya nyota Tano Kila mikoa mikubwa unayoijua Tz n na Dubai n.k
Screenshot_20240723_161411_Photo Editor.jpg
 
Back
Top Bottom