Sina matumaini tena ya kuendelea na masomo,mnishauri tu namna ya kumudu maisha


kaka wote hao nawapata,tena umesahau javisco vp unapajua kwa mzee said?,paredi pale ni j'tatu na alhamisi mpishi wa mapisi walikuwa weng,namkumbuka mama bonge wa mwanalugali,tena huku sauzi alikuwa mama anna anatoa mapis ya bili..tena enzi zile aliwah kutufundisha mjapan mmoja hv aliitwa Yosuke idda...wengine nimewasahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…