kama wewe ni KIBAHA BOY kweli unamfahamu MAMA Nyandingo??....unapafahamu Mwanalugali.....unamfahamu KASHINDYE(CASH BABA)...unamfahamu SHASHULA???....nitajie siku za pared pale ni lini na lini???......halafu mwisho kabisa nitajie jina la yule mpishi anayeuza mapisi mida ya jioni.....then utakuwa proved kama kweli wewe ni KIBAHA BOY.....afu ma ALUMNI tutakusaidia