Sina mzuka na mamito wangu...

Inabidi achukue ushauri huu na aufanyie kazi
Ni kweli auchukue sio tena aanze ku U COMMENT HATA USHAURI HUU,Unaweza kukuta ana comment kuwa hausiki/hakuna linalomgusa wakati nilishasema yeye mwenyewe hawezi kujiju especially when it comes to weakness.sijui kama amesha comments kwenye hili...
Mungu ambariki asi comment sannaaa,achukue tu na kufanyia kazi....EVE....
 
Ngoja tu ninyamaze.....
katika uliyoongea hakuna hata kimoja kinachonihusu
ahsante

Ahhh kumbe u mesha comments,
Anyway ni mawazo tu,Naomba kwa ajili yako kesho jumapili.
Mungu akupe nguvu na Maarifa EVE....
"Utayaweza yote kwake Kristu akutiaye nguvu"Philip 4:13.
 
Jitahidi kwa kila namna uwe nae karibu
Piga nae stori, muulize maswli ya kimaisha, mtanie, mwombe ushauri
Kuwa karibu na mama ni kitu kizuri sana
Mwanzoni nilikua namwogopa sana mama kwani alikua mkali na ukikosea anachapa na kufinya balaa, ila nimekua sasa na ananisaidia mambo kibao na amekuwa kama rafiki na hawezi kunisaliti
 

Haya best nashukuru, nitajitahidi nifanye....
mi pia natamani niishi nae hivo.
 
Kama hajakulea inaweza kuwa sababu pia ila la msingi jitahidi kila unapo muwaza baba ndo muda huo unampigia sim na mama au kama upo karibu pay her a vizt inaweza kukusahidia kuwa karibu naye kiasi furani..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Daah! Nimeisoma hii thread, naona ni something imposible kwa mtu wa umri wako kutokuwa na mzuka na mama yake, although i bealive, cha muhimu dadangu ebu kumbuka everything ambacho mama al4kuwa anafanya kuhusu ww, she cana do anything for you, ikiwa ni pamoja na kukupiga, kukutukana na kukushauri yote hayo ameyafanya ili kukujenga mpaka ukawa kama ulivyo sasa(msomi)hata ww mwenyewe umekiri hivyo. Please mshirikishe kwenye mambo yako hata ya uhusiano, i bealive hapendi akuone ukiteswa na jambo.
 

Haya nashukuru ndugu
nitajitahidi kujenga ukaribu nae sana awe best friend angu.
 

Ahsante kwa ushauri wako...........
 
Itabidi nizae soon ila akili inikae sawa eeehh teh!!!!!
ahsante kwa ushauri wako sister

aisee na mimi ninatafuta mdada wa kuzaa naye very soon, lets do that project together, I hope it will be accomplished successfully .
Thanks in advance for your acceptance.
 
Pole sana dear
Mimi kwa kweli i can not imagine kukosa mzuka na mother sababu ndio wa mtu wa kuondoa doubts zangu zote na ndio mshauri na msiri wangu.
Pia huwa nakumbuka sana scenes za utotoni za vitu alivyokua anajitolea kwa ajili ya kutulea kwa kweli du.
Pia ni best wa dingi lakini tokea nimejifungua aisee ubest na mama ndio umezidi
Muombe mungu naimani mapenzi yatakuja kwa mamito wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…