Sina mzuka na mamito wangu...

best kweli kabisa binafsi sijalelewa na mama wala baba wazazi walitengana mdogo nikiwa na 3 years dingi kwa frustration hadi leo hajaoa na hajazaa tena mama akaolewa tena nimelelewe na mamamkubwa miaka yote mapebzi yangu yalikuwa sana kwa mamkubwa na baba mama si sana ila ukubwa ulivonifika mwenyewe nikajirudisha na sasa ni bonge la fighter kwangu dah mpaka nasema sijui ingekuwaje asingekuwepo kuna vitu mama peke yake anaweza kukusimamia hata mtu aweje na uhusiano na wewe mama peke yake Evelyn Salt kugundua hilo ni tiba tosha taratibi utaelewa tu.
Hasa uchungu ukukushika ni mama pekee ninayeweza kumuambia na nitampigia kwa uchungu na kilio juu baada ya hapo at least nakuwa sawa.
Imagine mie ambae niliweza ishi miaka zaidi ya 6 sijaonana nae hata simu hakuna kuongea na wote tupo tz hii na yeye the same hawezi fanya kitu bila kuniambia na kunishirikisha.
Halafu ukituona sasa utafikiri mtu na mdogo.
Mama kwangu ni first piority akifuatiwa na mdogo wangu wa mwisho nawapenda sana i cant control my self
 
Last edited by a moderator:
Kuna kipindi mama alikuwa ananifanya nisijione kama mwanamke hivi, ila nikikumbuka alipolia nilipofikisha miaka kumi, najua uchungu wake. She is everything.
Najua kitu kimoja kuwa siku nikiumwa au ikatokea nikafa mama na baba pekee ndio hata wawe na shughuli nyingi kiasi gani watajitahidi kufika au wakishindwa wataomba kwa ajili yangu. Take this from me. However evil they might be, they are the only people who chose to make you alive and struggle for your life.
 

Matatizo na mama yako yako kwenye hayo mambo uliyo orodhesha nafikiri ukijaribu kutafakari uliyo yaandika utapata suluhu. alaf jaribu kufikiri
 

Nimekuelewa mpendwa ahsante....
 
aisee na mimi ninatafuta mdada wa kuzaa naye very soon, lets do that project together, I hope it will be accomplished successfully .
Thanks in advance for your acceptance.

Poa tufanye kuonana!!!!!!!!!
 
Matatizo na mama yako yako kwenye hayo mambo uliyo orodhesha nafikiri ukijaribu kutafakari uliyo yaandika utapata suluhu. alaf jaribu kufikiri

haya rutta ahsante....
nitajitahidi kutafuta suluhu ya hili jambo!!!!
 
naamini bado ujashindwa kabisa kuwa karibu na mama yako, ni muhimu sana jaribu vovyote vile uhakikishe unakuwa nae karibu
 

Ahsante kwa ushauri mpendwa....
nitafanya hivo
 
mi huwa nanyamaza tu siwezi kumjibu mami angu hata kuargue nae sijawahi asee!!!!

hapo ndipo unapokosea, usinyamaze tu, atleast omba samahani na mwambie kuwa kweli umekosa. Kunyamaza kimya its a kind of dharau pia. Alafu dont be over confident before ur mom, wasomi wengi wanayo hii na huwa inawakwaza sana wazazi.
 
hapo ndipo unapokosea, usinyamaze tu, atleast omba samahani na mwambie kuwa kweli umekosa. Kunyamaza kimya its a kind of dharau pia. Alafu dont be over confident before ur mom, wasomi wengi wanayo hii na huwa inawakwaza sana wazazi.

msamaha huwa naomba baadae akishamaliza kuongea yeye mi sioni kama ni busara ye anaongea
nami naongea!!!!!
 
1. Unafikiri ni kitu gani kinakufanya uwe karibu na mama mkubwa wako au baba mdogo wako?
2. Ni quality gani walizo nazo hao ulo karibu nao zinakufanya uwe huru nao?

Nitakuja kwenye angle ya 'usomi' baadaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…