Sina nguvu za kiume natafuta mwenza, nani atanipenda?

Kesi ya huyu jamaa inanikumbusha yaliyomkuta jamaangu mmoja. Basi yeye jamaa aliamua kuzunguka vijiji na mbuga zote za umasaini kutafuta tiba! Alipona baada ya kukutana na magwiji wa mitishamba. Kumbe nawe usikate tamaa japo kama wengine walivyokuambia wewe si kwamba huna nguvu. Unazo. Ila unachemka mno na kuingia kwenye "simanzi" ya raha mapema. Jaribu kutawala hisia hizo. POLE MKUU!
 
teh teh teh,kijana umenichekesha sana.kwanza nianze kwa kukupa pole,kama walivyo tangulia wenzangu hapo juu. Ni kwamba huna tatizo kabisa,tatizo lako wewe ni kwamba ujiamini kabisa unapokuwa na mrembo kitandani.

Nacho kushauri: unapo anza game inabidi ujiamini,na usiweke akili yako kwenye tendo usika,kwani ukiweka akili kwenye tendo utamaliza game haraka,wakati unaendelea na game ukihisi unafikia mshindo wa kwanza chomoa na kumwaga nje.hiyo itakusaidia kupata nguvu ya kuendelea na ngwe ya pili,kwani ukisema umalizie ndani hutoweza kwani wewe unaonekana ukihisi inasinyaa tu unakata tamaa moja kwa moja kitendo kinacho pelekea jamaa kulala kabisa.

Pia kitu kingine jaribu kula vyakula ambavyo vina virutubisho vya kujena mwili.Mkuu mimi ni muathirika mkubwa wa ponyeto,tangu nikiwa daresa la saba mpaka sasa ni miaka 16 na bado naendelea na aka kamchezo,na per day kuna wakati nilikuwa na piga mpaka mara 3-5.na sijapata tatizo lolote pia nina uwezo wakuunganisha magoli ndani kwa ndani.Hivyo usiwe na wasi wasi kabisa eti umepungukiwa na nguvu za kiume.

Mkuu inabidi na wewe unipe ushauri ni fanye kitu gani na mimi ni wezekuacha huu mchezo,kwani mpaka rfk yangu wa kike anajua hili swala na amejaribu kunikemea niache nime shindwa,naweza kuacha kwa siku tatu ya nne na chemsha.maana rfk yangu huyu hawezi kunifikisha ninapotaka niki piga moja tu anadai amechoka na mimi ndio kwanza moto unakolea,hivyo inanibidi nikamalizie kwa kupiga nyeto.na mimi naomba msaada wakuachana na hii kitu pls.
 
Pole sana, tatizo lako usiliongezee wasi wasi wako, wewe umezaliwa MWANAUME kaa ukijua wewe mwanaume. ungezaliwa jogoo hawiki iloswala lingine, Swala la PUNYETO baadhi ya wanaume wengi tumepitia jogoo anapanda mtungi kama kawaida. kwahiyo swala PUNYETO liondoe kabisa katika akili yako.KILICHO AFFETIWA NI UBONGO SIO JOGOO, JOGOO WAKO YUKO KAMILI TATIZO UBONGO WAKO MAJI MALA MOJA. JALIBU KUBADILISHA MAKAAJI ' STILE' UNAWEZA UKAMALIZA MITI SHAMBA BULE , NARUDIA TATIZO SIO JOGOO UBONGO. WENGI WATAFIKILIA TATIZO JOGOO SIO KWELI SYCHOLOGIA.

MBONENYAI.
 
Mi nina dawa za kuongeza nguvu au hata ukubwa, unaweza kununua tuongee biashara😕? Wasiliana nami kwenye PM.
Bluray,toka lini umenza hii biashara ?umekuwa mganga wakienyeji? mdau achana na Bluray,huna tatizo lolote na usitumie dawa yoyote.
 
teh teh teh,kijana umenichekesha sana.kwanza nianze kwa kukupa pole,kama walivyo tangulia wenzangu hapo juu. Ni kwamba huna tatizo kabisa,tatizo lako wewe ni kwamba ujiamini kabisa unapokuwa na mrembo kitandani.
well said.....wengi lazima mjue kuwa mapenzi ni sanaa la kuwa msanii lazima uwe mbunifu......chezeni sana foreplay zama chumvini,do whetever ugonna do ila usianze kuwaza kuingia kwenye 18......

wanaume wengi wanajifeel abnormal lakn si kweli.....wenyewe wanawaza kuingiza na kumaliza...sio mapenzi hayo.....lazima ujue kucheza na milango ya fahamu ya shori.....tumia ulimi kwa saana ukitandaza fiber optic mwili mzima bonyeza bonyeza kila sehemu,uma uma,kanda kanda,finyafinya,mfanyie massage lamba lamba kila sehemu ....nakuambia yeye akiwa keshafika Mbagala wewe ndio kwaanza upo mivinjeni....

janaume moja riridiriki kusema ati haliwezi kuzamia......rinafikiri ku score 6goals ndio kumfikisha shori wake.....
i'm a master pf foreplay....kama una maswali zaidi niPM...TGIF
 
Dingiswayo sasa kama sie tusokula kinywaji inakuwaje afu hiyo tiba ya kidonge haina mashariti kama mi napiga 3 zangu viuri lakini cha kwanza ni balaa kinatoka fasta kama unyunyu,hebu nifafanulie kidogo we uko vpi kwa sasa katika tendo hilo?
 
Ukisha maliza matayarisho unaanza kukukuruka mwanangu kisha unajikunja kama nyani hehehe hapo mzee lakini uwe umekamata kilaji kidogo kama umepata Konyagi yako ulianza kufyonza kama saa 2 zilizo pita mbona stimu na mizuka mingi.
 
Dingiswayo sasa kama sie tusokula kinywaji inakuwaje afu hiyo tiba ya kidonge haina mashariti kama mi napiga 3 zangu viuri lakini cha kwanza ni balaa kinatoka fasta kama unyunyu,hebu nifafanulie kidogo we uko vpi kwa sasa katika tendo hilo?


Kijana vitu vyote vibaya kwa afya yako ni vibaya kwa ujasiri wako wa uroda.

Kwa kuongezea yaliosemwa juu, fanya mazoezi ya kukuweka katika shepu nzuri na kuimalisha misuli.

Vilevile kula vyakula bora na sio ukimbilie kupata kitambi kwa kufakamia ulabu.
 
Pole sana. Na hili liwe fundisho kwa wanaume wengine, waache kujichua.


Pretty,

Kwa taarifa, Ukiwa na tatizo la kuwahi ku-ejaculate, punyeto ndio dawa, maana cha pili kiachukua muda mrefu wa kuweza kumfanya mwenzio afurahie tendo.
 
Pole sana ndugu kwa tatizo hilo. Lakini nadhani tatizo ulilonalo limesababishwa na mambo mengine na sio kupiga punyeto. Inawezekana una matatizo ya kisaikolojia. Nakushauri uwaone wanasaikolojia na watalamu wa afya wakupe ushauri nasaha na tatizo lako litakwisha tu. Pole sana
 
Kwa taarifa, Ukiwa na tatizo la kuwahi ku-ejaculate, punyeto ndio dawa, maana cha pili kiachukua muda mrefu wa kuweza kumfanya mwenzio afurahie tendo.

Mkuu hii naipenda na iwa naitumia sana au unafanya withdraw nzuri sana hii yaani tunaita two in one.
 
Pole sana. Na hili liwe fundisho kwa wanaume wengine, waache kujichua.
hahahha Prettty na wewe unaharibu mummy waache washauriane wenzio ila mhhh shost yakimkuta shemeji hayo si mtihani?
 
mhhhhh josm madogo lakini mazito,,,,,, balaaaa huyo mwenzio ana kazi kweli kweli
 
mhhhhh josm madogo lakini mazito,,,,,, balaaaa huyo mwenzio ana kazi kweli kweli
Agika,unaguna nini? si unaona best hapa amelalamika kwa kuwa alishindwa kumtosheleza mamaa! hadi akakimbiwa.mwenzangu wala hana kazi,kazi iko kwangu ambae siriziki hadi nalazimika kujirizisha kwa mikono...Agika ebu nipe ushauri ni fanye nini iliniwe narizika kama mwenzangu 😕? maana kutoka nje naogopa.
 
wana biologia wanasema mtu anaekojoa haraka ni raisi kumjaza mtu mimba kuliko yule anaekawia
dogo usiwe na wasi wasi kama jamaa alivyosema kula asali ya nyuki weka kwenye chai badala ya sukari au kwenye mkate nguvu zako zitarudi tuuu
 

Duh..Kamanda umegonga ikulu!

Lakini..mimi nadhani masharti mengine ni magumu maana..duh..inaonekana ulimi hatujui kuutumie wengine...
 
Pole sana kaka hata mimi nadhani ukipunguza mawazo tatizo litaisha tuu.
pia jatahidi kufanya mazoezi juu ya kumwandaa msichana kama Mungu akikubariki c unajua c wa kina dada 2napenda maujanja zaidi!ha ha ha ha ha!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…