Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Aiseee ukimaliza kesi yako.Sasa marafiki gani hao wa kuonana usiku wa manane tu? Yaani mchana kutwa nashinda mwenyewe sina wa kupiga nae story ndio maana nafanya mchakato wa kupata marafiki wa mchana [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Please naomba hiyo kesi na mimi uiahirishe kwanza maana kuna mtu nimemfungulia mashtaka makubwa,utanitoa kwenye mstari wa kusimamia kesi yangu bure.
niko na wewe