Sina rafiki wa karibu bado

Sina rafiki wa karibu bado

Sasa marafiki gani hao wa kuonana usiku wa manane tu? Yaani mchana kutwa nashinda mwenyewe sina wa kupiga nae story ndio maana nafanya mchakato wa kupata marafiki wa mchana [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Please naomba hiyo kesi na mimi uiahirishe kwanza maana kuna mtu nimemfungulia mashtaka makubwa,utanitoa kwenye mstari wa kusimamia kesi yangu bure.
Aiseee ukimaliza kesi yako.
niko na wewe
 
Marafiki wote waliojaa facebook then uje kutafuta marafiki humu,I`m smelling something
 
Habari zenu wanaJF

Nimekuwa nikiona watu wanasalimiana kwa majina, na ni dhahiri baadhi wanafahamiana kabisa.

Hali iko kipekee kwangu ambaye ni kama mwaka sasa tangu nimejiunga... sina ninayemfahamu bado.

Nahisi kuanzia leo ntapata marafiki, ambao tutajuliana hari na hata kushirikishana hili na lile katika maeneo yetu...

Kwa kifupi;
1. Mimi ni mzaliwa wa Kagera.
2. Nimesomea maeneo mbalimbali (Kagera, Kigoma, Geita, Lindi na sasa nipo Dodoma).
3. Ni kijana ninayependa marafiki waliochangamka na wakweli.
5. [emoji4][emoji4]

NB: kama hauna rafiki, unga tela hapa.
BillNaka, wee ni Ke au Me?
 
Back
Top Bottom