Sina raha kinyesi changu kinatoa harufu mbaya sana

Maskini ona jinsi watanzania wenzetu wanavyozidi kuwa vichaa kila kukicha..!!!
Huyu member alikuwaga mzima kabisa lakini hivi sasa ndo hivyo tena amebakiza kuokota makopo tu.!
Sijui Hiki chama kinatupeleka wapi.
 
Asee,
Nimecheka sana
Hivi kinyesi kwa wengine huwa kinanukia au?
 
kwan kuna kinyesi kinatoa harufu nzuri acha utot dgo wa kunusa kinyesi
 
Mkuu hicho kinyes chako n kizuri sanaa kustawisha matikiti nakushauri ukikusanye hapo uwani ntakuja kukizoa baada ya mwezi...yaani tikiti linatoka kubwaaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…