Umeona eeh nimeipenda gfsonwin kumbe na we una moyo km wng,ungekuwa na moyo kama wangu ningekwambia hivi mdharau kwa namna ya ajabu na ndoa kama ni ya kanisan ama mskitin usimpe talaka ila mwonyehe as huoni kama kuna mtu humo ndani yaani mfanye kuwa fenicha. ukirudi pita na 50 zako, ukienda chumban kulala lala kimya wala usimguse. usimulize jambo lolote la heri wala la shari wala usimpige. ufanyapo haya jitoe akili kabisa ona kama ni binti wa kazi tu humo ndani. kama anaakili lazima nanga itapaa.
Kaka yangu alishawahi kuniambia, mume utampatia kazini; kumbe wengi mna mitazamo kama hiyo. Ukiwa independent unakuwa kwenye uwezo mzuri wa kuchagua mtu wa kuishi naye na unapunguza possibility za kuolewa kwa ajili ya kujikimu, inabaki mapenzi au kuanzisha familia. Pia unakuwa mature tayari!
Ndio maana wanaume wengi wanapenda ready made si wa kutengeneza mwenyewe...wanaepuka majuto kama haya.
Nakumbuka baba yangu alikuwa anamcheka kaka yangu kwa kuoa form four leaver ; hakumkataza ila alikuwa anamwambia hivi wewe wasomi wote umekosa unatafuta mke wa kumpeleka shule...Ila kaka mkewe hakubadilika hata baada ya kusomeshwa.
Ila sijuhi ni kwa nini, wake za watu wengi nilosoma nao undergraduate walikuwa moto chini, kuliko mabinti ambao ni single. Wengine ndoa zilikufa...wengine nadhani walinusurika kugunduliwa na waume zao.
Swali hapa ni Je, huyo mtoto mmoja anayesema wanae, Ni mwanae kweli?...Pole sana...sasa umeshatamkiwa hivyo na mkeo unasubiri nini tena kufanya maamuzi mazito? au unataka akuletee mtoto wa nje ya ndoa?
We Kaunga.......!Nafikiri inachangiwa pia na kuolewa wakiwa wadogo, huenda wengi wao waume zao ndio first man na labda hawakupata muda wakujichanganya wakiwa wadada; so akipata kauhuru kidogo (chuo) ndipo anapoanza kuexprole na kugundua kuwa mbona "ya Musa ni kubwa halafu ni tamu kuliko yako" (hii nimeipata jukwaa la jokes ambapo mume alimwambia mkewe yeye peke yake ndio mwenye dudu).
Swali hapa ni Je, huyo mtoto mmoja anayesema wanae, Ni mwanae kweli?
Nyani Ngabu we ndo mwizi wake nn? afu huna mpango na maiwaifu wake so wasiachane ili uendelee kula mzigo bila stress!Vumilia tu.
heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae kwani amebadilika na kufikia hatua ya kunitamkia kuwa ni kheli tuachane na kila mtu aishi maisha yake kwa kua kama kazi anayo na anaweza kujitegemea.na sababu kubwa iliyopelekea yote hayo ni baada ya kugundua kua anamahusiano ya kimapenzi na bwana mmoja na nilipomuuliza likanusha na kudai nisimfatilie na nimwache na maisha yake,
tuna mtoto 1,naombeni busara zenu
ungekuwa na moyo kama wangu ningekwambia hivi mdharau kwa namna ya ajabu na ndoa kama ni ya kanisan ama mskitin usimpe talaka ila mwonyehe as huoni kama kuna mtu humo ndani yaani mfanye kuwa fenicha. ukirudi pita na 50 zako, ukienda chumban kulala lala kimya wala usimguse. usimulize jambo lolote la heri wala la shari wala usimpige. ufanyapo haya jitoe akili kabisa ona kama ni binti wa kazi tu humo ndani. kama anaakili lazima nanga itapaa.
heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae kwani amebadilika na kufikia hatua ya kunitamkia kuwa ni kheli tuachane na kila mtu aishi maisha yake kwa kua kama kazi anayo na anaweza kujitegemea.na sababu kubwa iliyopelekea yote hayo ni baada ya kugundua kua anamahusiano ya kimapenzi na bwana mmoja na nilipomuuliza likanusha na kudai nisimfatilie na nimwache na maisha yake,
tuna mtoto 1,naombeni busara zenu
...Pole sana...sasa umeshatamkiwa hivyo na mkeo unasubiri nini tena kufanya maamuzi mazito? au unataka akuletee mtoto wa nje ya ndoa?
Umeona eeh nimeipenda gfsonwin kumbe na we una moyo km wng,