sina raha na ndoa yangu......

sina raha na ndoa yangu......

Ndoa hizi, yaani ni pasua kichwa
 
Mh maisha haya...miaka mitatu tu ya ndoa ameshakuwa kimburumatali? Ndoa yahitaji uvumilivu uliokithiri. Kama mmoja wapo hapo juu alivyokwambia 'Vumilia tu' ndugu yangu fimbombaya

Kama kweli hakupendi mbona haondoki?
 
Katika lolote tulifanyalo lengo ni kupata furaha,faraja na amani ndani ya nafsi, kama hilo hulipati ndani ya ndoa utalipata wapi?Kikubwa kabla ya kumwacha ni vizuri ukamwomba akusaidie kukufahamisha mambo ambayo "yamemboa" kwako ili uyafanyie kazi au ikishindikana utayafanyia kazi mbele ya safari.Amini hata kama ni ngumu wewe pia ni chanzo cha tatizo.
 
ungekuwa na moyo kama wangu ningekwambia hivi mdharau kwa namna ya ajabu na ndoa kama ni ya kanisan ama mskitin usimpe talaka ila mwonyehe as huoni kama kuna mtu humo ndani yaani mfanye kuwa fenicha. ukirudi pita na 50 zako, ukienda chumban kulala lala kimya wala usimguse. usimulize jambo lolote la heri wala la shari wala usimpige. ufanyapo haya jitoe akili kabisa ona kama ni binti wa kazi tu humo ndani. kama anaakili lazima nanga itapaa.
Umeona eeh nimeipenda gfsonwin kumbe na we una moyo km wng,
 
Ndio maana wanaume wengi wanapenda ready made si wa kutengeneza mwenyewe...wanaepuka majuto kama haya.

Nakumbuka baba yangu alikuwa anamcheka kaka yangu kwa kuoa form four leaver ; hakumkataza ila alikuwa anamwambia hivi wewe wasomi wote umekosa unatafuta mke wa kumpeleka shule...Ila kaka mkewe hakubadilika hata baada ya kusomeshwa.

Ila sijuhi ni kwa nini, wake za watu wengi nilosoma nao undergraduate walikuwa moto chini, kuliko mabinti ambao ni single. Wengine ndoa zilikufa...wengine nadhani walinusurika kugunduliwa na waume zao.

Kaka yangu alishawahi kuniambia, mume utampatia kazini; kumbe wengi mna mitazamo kama hiyo. Ukiwa independent unakuwa kwenye uwezo mzuri wa kuchagua mtu wa kuishi naye na unapunguza possibility za kuolewa kwa ajili ya kujikimu, inabaki mapenzi au kuanzisha familia. Pia unakuwa mature tayari!
 
Ndio maana wanaume wengi wanapenda ready made si wa kutengeneza mwenyewe...wanaepuka majuto kama haya.

Nakumbuka baba yangu alikuwa anamcheka kaka yangu kwa kuoa form four leaver ; hakumkataza ila alikuwa anamwambia hivi wewe wasomi wote umekosa unatafuta mke wa kumpeleka shule...Ila kaka mkewe hakubadilika hata baada ya kusomeshwa.

Ila sijuhi ni kwa nini, wake za watu wengi nilosoma nao undergraduate walikuwa moto chini, kuliko mabinti ambao ni single. Wengine ndoa zilikufa...wengine nadhani walinusurika kugunduliwa na waume zao.

Nafikiri inachangiwa pia na kuolewa wakiwa wadogo, huenda wengi wao waume zao ndio first man na labda hawakupata muda wakujichanganya wakiwa wadada; so akipata kauhuru kidogo (chuo) ndipo anapoanza kuexprole na kugundua kuwa mbona "ya Musa ni kubwa halafu ni tamu kuliko yako" (hii nimeipata jukwaa la jokes ambapo mume alimwambia mkewe yeye peke yake ndio mwenye dudu).
 
eeh Mungu wangu,baba wa mbinguni.kama kupiga magoti mbele zako mara 1000 kutaniepusha na jambo kama hili nipo tayari kupiga magoti mara 1,000,000!!!!!!!!!!
 
...Pole sana...sasa umeshatamkiwa hivyo na mkeo unasubiri nini tena kufanya maamuzi mazito? au unataka akuletee mtoto wa nje ya ndoa?
Swali hapa ni Je, huyo mtoto mmoja anayesema wanae, Ni mwanae kweli?
 
Nafikiri inachangiwa pia na kuolewa wakiwa wadogo, huenda wengi wao waume zao ndio first man na labda hawakupata muda wakujichanganya wakiwa wadada; so akipata kauhuru kidogo (chuo) ndipo anapoanza kuexprole na kugundua kuwa mbona "ya Musa ni kubwa halafu ni tamu kuliko yako" (hii nimeipata jukwaa la jokes ambapo mume alimwambia mkewe yeye peke yake ndio mwenye dudu).
We Kaunga.......!
 
Last edited by a moderator:
....Hapo akili mkichwa....kama hana hata kimoja ambacho wanashabihiana na mwanae basi DNA ndio itakuwa msema kweli, lakini DNA bongo longolongo ni refu sana ali mradi kumkatisha tamaa yule anayetaka kuthibitisha kama kweli yeye ni Baba wa mtoto.

Swali hapa ni Je, huyo mtoto mmoja anayesema wanae, Ni mwanae kweli?
 
heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae kwani amebadilika na kufikia hatua ya kunitamkia kuwa ni kheli tuachane na kila mtu aishi maisha yake kwa kua kama kazi anayo na anaweza kujitegemea.na sababu kubwa iliyopelekea yote hayo ni baada ya kugundua kua anamahusiano ya kimapenzi na bwana mmoja na nilipomuuliza likanusha na kudai nisimfatilie na nimwache na maisha yake,

tuna mtoto 1,naombeni busara zenu

Inaonekana huyu bibiye hakuwa anakupenda tangu awali bali aliwekeza kwako ili apate elimu na kazi. Sasa ameshakamilisha malengo yake na sasa anataka ampate anayempenda.
 
ungekuwa na moyo kama wangu ningekwambia hivi mdharau kwa namna ya ajabu na ndoa kama ni ya kanisan ama mskitin usimpe talaka ila mwonyehe as huoni kama kuna mtu humo ndani yaani mfanye kuwa fenicha. ukirudi pita na 50 zako, ukienda chumban kulala lala kimya wala usimguse. usimulize jambo lolote la heri wala la shari wala usimpige. ufanyapo haya jitoe akili kabisa ona kama ni binti wa kazi tu humo ndani. kama anaakili lazima nanga itapaa.

Itabidi nikutafute unipe tuition zaidi ya hii strategy yako.
 
heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae kwani amebadilika na kufikia hatua ya kunitamkia kuwa ni kheli tuachane na kila mtu aishi maisha yake kwa kua kama kazi anayo na anaweza kujitegemea.na sababu kubwa iliyopelekea yote hayo ni baada ya kugundua kua anamahusiano ya kimapenzi na bwana mmoja na nilipomuuliza likanusha na kudai nisimfatilie na nimwache na maisha yake,

tuna mtoto 1,naombeni busara zenu

Fimbombaya shida fimbo yako mbaya, amepata zilizo nzuri zinazomchapa kisawasawa eti
 
...Pole sana...sasa umeshatamkiwa hivyo na mkeo unasubiri nini tena kufanya maamuzi mazito? au unataka akuletee mtoto wa nje ya ndoa?

nadhani anataka tumsaidie kumbembeleza mkewe abadilishe uamuzi, aaaha!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yaan hiz ndoa za sasa zimeingiliwa sana mume acpokuwa tatizo mke anakuws ndo tatizo
 
Back
Top Bottom