sina raha na ndoa yangu......

sina raha na ndoa yangu......

heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae kwani amebadilika na kufikia hatua ya kunitamkia kuwa ni kheli tuachane na kila mtu aishi maisha yake kwa kua kama kazi anayo na anaweza kujitegemea.na sababu kubwa iliyopelekea yote hayo ni baada ya kugundua kua anamahusiano ya kimapenzi na bwana mmoja na nilipomuuliza likanusha na kudai nisimfatilie na nimwache na maisha yake,

tuna mtoto 1,naombeni busara zenu

listen kuachana sio solution , sit down and talk the two of you , did you catch her cheating or just hear say of pipo? communication between the two of you is the important regardless of whatever just talk first and mind you take time for the two of you to pray together I believe it's God who brought you together pray while believing everything will be sorted out stick to prayers
 
duh, duniani kuna mambo pole sana mkuu sisi ambao bado tupo tupo wacha tuendelee kujifunza kutoka kwenu
 
Back
Top Bottom