Sina shida na Ubingwa wetu wa Ngao ya Jamii ila kwenye suala la Kipa mmetuangusha!

Sina shida na Ubingwa wetu wa Ngao ya Jamii ila kwenye suala la Kipa mmetuangusha!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tuliaminishwa Kipa Jefferson Luis ni bonge la Kipa mara ghafla akalazimishwa ajifanye kaumia ili aachwe na achukue hela yake ya bure ya Tsh. 150 milioni na wapigaji wachukue Tsh. 250 milioni na ikaishia hapo.

Simba Day tukatambulishwa Kipa Abel ambaye alishafungwa na Simba SC goli 6 au 7 alipokuwa na Timu yake Prisons FC kama sijakosea.

Tukiaminishwa kuwa ni Bonge la Kipa kumbe Kocha Mkuu kamtizama na hata tajiri nae akatonywa na Wakala mmoja wa Wachezaji wa Tanzania kuwa hakuna Kipa hapo na aachwe lakini wanaona aibu kumuacha kwani wataonekana ni Waswahili na wapuuzi wakati tokea zamani wenye akili akina GENTAMYCINE tulishawaona wako hivyo.

Mara tena tajiri nae (kama kawaida yake) kwa kupenda kukurupuka kaenda kumleta Kipa mwingine Ayoub wakati akijua kikosini tuna lundo la makipa na wengine wanatakiwa kutolewa kwa mkopo ili wakajiimarishe zaidi.

GENTAMYCINE namalizia kwa kuwaacha na swali je, tuliwezaje kutumia muda mrefu kuwasajili akina Onana, Chamalone na Miquissone na tukasahau kuanza na kwa kipa ambaye ndiyo msingi mkuu na mhimili wa mafanikio ya klabu yoyote kiufundi?

Hata kama tumechukua Ubingwa wa Community Shield Cup hivi majuzi tena mbele ya watani zetu kule Tanga ila GENTAMYCINE sitoacha au kuona aibu kuwasema kwa mapungufu yenu yanayokera ambayo nayaona, yanakera na hayavumiliki.
 
Try again yuko Australia. Kombe la dunia la wanawake linafanyika huko hivyo semina huko huko. Karibu Kila semina anaenda kujiimarisha kwenye leadership skills.

Tunaamini ataerevuka said ili Simba ipunguze haya makosa ya wazi.

Inawezekana Manula alionesha ishara ya kupona mapema ndio maana wakawa njia panda kwenye golikipa ila kuondoka kwa Beno kukawafanya waingie sokoni kwa haraka

Kocha mwenyewe simuamini amini.
 
Tuliaminishwa Kipa Jefferson Luis ni bonge la Kipa mara ghafla akalazimishwa Ajifanye Kaumia ili aachwe na achukue Hela yake ya bure ya Tsh 150 Milioni na Wapigaji wachukue Tsh 250 Milioni na ikaishia hapo.
Kwanza nikusalimu Kwa lugha yenye mamlaka, AGHA CHINSIKU MURA!
Nakubaliana na wewe Kwa hoja hii na Kati ya watenda haki kwenye soka la nchi hii wewe unajaribu kulitendea haki.

Ngao ya Jamii imekuwa hasara Sana Kwa Simba maana inatumika na itatumika Sana kama kichaka cha kuficha madhaifu ya usajili usiozingatia mahtaji. Hata kama falsafa ya Kocha ni kushambulia tu Muda wote ndo usajili wingers 11? Timu ina makipa wagonjwa na nafuu 5, wote wa nini? Siku moja nilisema timu ya Simba imenenepa kifua na kukonda kiuno. Yaani Simba ina umbo la Simba.

Mbele kumejaa, nyuma pungufu lakini wajuaji wakaniuliza nimewahi kufundisha timu gani ya Ligi Kuu!! Hivi inahtaji Diploma A ya CAF kujua kwamba Simba ina mabeki 3 tu wa Kati na akiumia mmoja shida inaanza? Kabla maneno yangu hayajayeyuka Inonga kaumia na huu ni mwanzo wa msimu. Siku ya mechi na Yanga nikamuoma Malon naye kaanza kuchechemea nikasema nitaitwa mchawi acha nikae kimya, nisiongee, mi bado mdogo Sana, Kimyaaa!

Nafikiri jina la TRY AGAIN linaleta shida Kwa kiongozi kiasi cha kumfanya awe Mtu wa kujaribu Kila kitu. Lakini tuhuma za kwamba ni mpokeaji wa 10% za manunuzi zinajidhihirisha Kwa Hali hii. Wanaotoka ndani wanathibitisha hili Kwa mkataba wa ajabu aliopewa Saidoo. Atacheza 90+ labda aumie, Mtoto wa Baba mwenye nyumba.
 
Kwanza nikusalimu Kwa lugha yenye mamlaka, AGHA CHINSIKU MURA!
Nakubaliana na wewe Kwa hoja hii na Kati ya watenda haki kwenye soka la nchi hii wewe unajaribu kulitendea haki.
Ngao ya Jamii imekuwa hasara Sana Kwa Simba maana inatumika na itatumika Sana kama kichaka cha kuficha madhaifu ya usajili usiozingatia mahtaji. Hata kama falsafa ya Kocha ni kushambulia tu Muda wote ndo usajili wingers 11? Timu ina makipa wagonjwa na nafuu 5, wote wa nini? Siku moja nilisema timu ya Simba imenenepa kifua na kukonda kiuno. Yaani Simba ina umbo la Simba. Mbele kumejaa, nyuma pungufu lakini wajuaji wakaniuliza nimewahi kufundisha timu gani ya Ligi Kuu!! Hivi inahtaji Diploma A ya CAF kujua kwamba Simba ina mabeki 3 tu wa Kati na akiumia mmoja shida inaanza? Kabla maneno yangu hayajayeyuka Inonga kaumia na huu ni mwanzo wa msimu. Siku ya mechi na Yanga nikamuoma Malon naye kaanza kuchechemea nikasema nitaitwa mchawi acha nikae kimya, nisiongee, mi bado mdogo Sana, Kimyaaa!
Nafikiri jina la TRY AGAIN linaleta shida Kwa kiongozi kiasi cha kumfanya awe Mtu wa kujaribu Kila kitu. Lakini tuhuma za kwamba ni mpokeaji wa 10% za manunuzi zinajidhihirisha Kwa Hali hii. Wanaotoka ndani wanathibitisha hili Kwa mkataba wa ajabu aliopewa Saidoo. Atacheza 90+ labda aumie, Mtoto wa Baba mwenye nyumba.
Sijawahi kuwa na Mashaka na Uwezo wako mkubwa wa Akili ulionao na ninaopenda sana japo tunatofautiana katika Mpira ukiwa ni mwana Yanga na Mimi mwana Simba na pia ukiwa ni Mpinzani Kisiasa nami nikiwa ni Shabiki ( siyo Mwanachama ) wa Chama Tawala.

Nakukubali sana Kamarada ( Comrade )
 
Simba Kuna uhuni na udanganyifu mkubwa. nilishangaa kusoma kwenye gazeti Simba wametumia milioni 120 kumsajili huyo kipa nona uhakika hizo habari ni uongo mkubwa. Hata hizo bilioni 3 wanazosema wametumia kwenye usajili ni changa la macho. Kwa timu ambayo ikiuza mchezaji inaficha taarifa, ikicheza inaficha taarifa ya mapato ni wazi wako pale kiupigaji.
 
Upo sahihi , Kiongozi ... Ingawaje kuna watu watakuja kukuita Popoma Sasa hivi [emoji16]
Hivi kumbe Bado Kuna hamuamini huyu dogo??? Ally salimu pamoja na vitu anavyofanya makosa ni Madogo Sana Tena mno Kama kutema mipira akirekebisha ni mzuri

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Uje Uandike na IDARA ya Kiungo ya Simba Isiyokuwa na No 6.
Hili jambo linaniuma sana.

Fabrice NGOMA. 8,10.
Sadio Kanute 8.
Mzamiru yassin 8

Simba Ina Mashindano makubwa 3-4
Kwa kiungo hiki itakula kwetu.

Beki wa maana INONGA na Malone.
Akiumia mmoja ni shida.

Imejaza mawinga 10.
 
Kwanza nikusalimu Kwa lugha yenye mamlaka, AGHA CHINSIKU MURA!
Nakubaliana na wewe Kwa hoja hii na Kati ya watenda haki kwenye soka la nchi hii wewe unajaribu kulitendea haki.
Ngao ya Jamii imekuwa hasara Sana Kwa Simba maana inatumika na itatumika Sana kama kichaka cha kuficha madhaifu ya usajili usiozingatia mahtaji. Hata kama falsafa ya Kocha ni kushambulia tu Muda wote ndo usajili wingers 11? Timu ina makipa wagonjwa na nafuu 5, wote wa nini? Siku moja nilisema timu ya Simba imenenepa kifua na kukonda kiuno. Yaani Simba ina umbo la Simba. Mbele kumejaa, nyuma pungufu lakini wajuaji wakaniuliza nimewahi kufundisha timu gani ya Ligi Kuu!! Hivi inahtaji Diploma A ya CAF kujua kwamba Simba ina mabeki 3 tu wa Kati na akiumia mmoja shida inaanza? Kabla maneno yangu hayajayeyuka Inonga kaumia na huu ni mwanzo wa msimu. Siku ya mechi na Yanga nikamuoma Malon naye kaanza kuchechemea nikasema nitaitwa mchawi acha nikae kimya, nisiongee, mi bado mdogo Sana, Kimyaaa!
Nafikiri jina la TRY AGAIN linaleta shida Kwa kiongozi kiasi cha kumfanya awe Mtu wa kujaribu Kila kitu. Lakini tuhuma za kwamba ni mpokeaji wa 10% za manunuzi zinajidhihirisha Kwa Hali hii. Wanaotoka ndani wanathibitisha hili Kwa mkataba wa ajabu aliopewa Saidoo. Atacheza 90+ labda aumie, Mtoto wa Baba mwenye nyumba.
Shabiki wa Yanga, wala hutusumbuiiii kuwa buzzy na team yako, simba haikuhusuuu.

Teseka taratibuuu, poleeee we're, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu nitolee hapa Unafiki wako Mpuuzi Mmoja Wewe sawa? Nakudharau kuliko ujuavyo halafu sijui ni kwanini unapenda mno Kushobokea Threads ( Mada ) zangu hapa JamiiForums.
Genta bana kwahiyo unamuoshea mwenzio 😅
 
Back
Top Bottom