Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Super women 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
5,164
Reaction score
6,540
Habari zenu.

Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.

Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.
 
 
Ni mambo yanayotokea sana,japo sio kawaida kuwa na huzuni bila ya sababu.mi huwa inantokea na kuishi hata 3 days na inapotea yenyewe ni hofu tupu but nimezoea.
 
Ni tatizo gani. Na jambo gani natakiwa kufanya
Una tatizo la kukosa furaha na amani. Yapo masuluhisho mbalimbali ya kitabibu, kisaikolojia, kidini na kijamii. Kwanza, badili mazingira ya kuwepo kwako. Pili, sahau kwa muda mazingira uliyotoka. Tatu, wafahamu watu wapya wakupe mambo mapya na maneno mapya. Nne, rekebisha au badili maneno na matendo yako. Sijajifunza saikolojia mahali popote lakini naweza kukupa hiyo tiba. Imewasaidia wengi.
 
Kuna mambo yaliyokutokea huko nyumba na hujakabiliana nayo ipasavyo unajaribu kuyasahau ila 'ur subconscious mind is not ready to let it go'. Weka mazimgira ya nyumba yako katika hali ya usafi ninaanisha punguza makororo kama yapo na uweke mziki wa instrumental kama wa Tracy Chapman itakusaidia kuteflect back. You need to deal with the hidden agendas.
 
Ni mambo yanayotokea sana,japo sio kawaida kuwa na huzuni bila ya sababu.mi huwa inantokea na kuishi hata 3 days na inapotea yenyewe ni hofu tupu but nimezoea.
Pole. Yaani sina raha kabisa
 
Pole sn huwatokea wengi. Jikeep busy sn especially socialize na watu, epuka kukaa peke yako au jikite sn kwenye mitandao kama humu. Zaidi ya yte mludie muumba kwa imani yako. Usisahau kutubu.
 
Pole sana, nahisi una stress aidha distress au eustress
Jitahidi kufanya mazoezi, usipende kukaa peke yako, fanya ibada kwa imani yako pia kama una mtu wako wakaribu unaweza kumwambia hali hii inayokusumbua
Asante sana dear. Ngoja nilifanyie kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…