Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Asante sana. Ntayafanyi Kazi.[emoji120][emoji120]
 
Asante sana dear. Ngoja nifanye hivyo
 
Asante. Ngoja nikachek
Super w, hali kama hiyo humpata kila mtu. Mimi pia hali kama hii hutokea na ninakosa amani, hii huweza kuwa ni alert ya jambo lisilofurahisha mbele yako au laa.
Kwangu mimi huishinda hali hii kwa sala na maombi.
Naomba usitishwe na watu ikiwa wewe ni mtu wa imani fanya maombi utavuka salama.
Usipokuwa makini utatishwa na kupandikizwa imani ya ajabu na kutishwa bure.
 
sali mamy.. me ikinitokea hiyo hali huwa na sali na sinywi pombe kabisa ... nilikunywaga pombe nikaogopa kulala nikijua nikifunga macho tu ni kaburini........
Asante sana. Ngoja nifanye hivyo. Afu pia mimi situmii kilevi chochote kile. Labda nilitumia kikanisababishia. Ila umenifanya nicheke.
Ya kwamba. Ukifunga macho ni kaburini. Pole [emoji23]
 
Pole sn huwatokea wengi. Jikeep busy sn especially socialize na watu, epuka kukaa peke yako au jikite sn kwenye mitandao kama humu. Zaidi ya yte mludie muumba kwa imani yako. Usisahau kutubu.
Amen. Asante sana kwa ushauri wako
 
Asante sana. Ngoja nifanye hivyo. Afu pia mimi situmii kilevi chochote kile. Labda nilitumia kikanisababishia. Ila umenifanya nicheke.
Ya kwamba. Ukifunga macho ni kaburini. Pole [emoji23]
asante mamy. pombe maandiko yanakataza lakini kuna sehemu yanakubali sasa yananichanganya sasa naogopa kufa kama pepo ipo niende motoni navyo penda raha basi ndiyo hofu inakuja mara 200.. sigusi kabisa
 
Asante sana kwa ushauri wako
 
asante mamy. pombe maandiko yanakataza lakini kuna sehemu yanakubali sasa yananichanganya sasa naogopa kufa kama pepo ipo niende motoni navyo penda raha basi ndiyo hofu inakuja mara 200.. sigusi kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Pole. kila mtu anapenda raha. Na kila mtu anapigania siku ya mwisho aende peponi
 
Vipi vyeti? Isijekuwa ndo roho anakuarifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…