Hofu ni tatizo kubwa sana, hofu huleta presha na hata ugonjwa wa msongo wa mawazo, njia pekee ya kuondokana na hofu ni maombi, kama wewe ni mkristo ukiwa katika hali hiyo piga nyimbo za praise and worship, ZINATULIZA.Habari zenu.
Kama Week 3.zilizopita mpaka Leo. Nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi,na woga. Kana kwamba. Nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua.nakuwa ni mtu mwenye hofu sana. Na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri. Msaada inaweza Kuwa ni tatizo. Na nini kifanyike ili niwe kawaida.
Wazee wa fursa!!Au nicheki 0786133416/ 0713177313 kuna mshauri nasaha ni mzuri sn atakusaidia sn.
Pole sana Mkuu Super women ebu search Bipolar disorders then ujitathimini, pia sali na omba toba yamkini kuna jambo lisilojema/ la kukuhuzunisha linakuja,Habari zenu.
Kama Week 3.zilizopita mpaka Leo. Nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi,na woga. Kana kwamba. Nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua.nakuwa ni mtu mwenye hofu sana. Na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri. Msaada inaweza Kuwa ni tatizo. Na nini kifanyike ili niwe kawaida.
Siwezi mfata mtu pm. Ushauri ntakao fuata ni wa hapaKuna watu watakwambia uwatafute PM.....
HapanaVipi vyeti? Isijekuwa ndo roho anakuarifu
Unaweza ukani PM for more helpHabari zenu.
Kama Week 3.zilizopita mpaka Leo. Nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi,na woga. Kana kwamba. Nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua.nakuwa ni mtu mwenye hofu sana. Na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri. Msaada inaweza Kuwa ni tatizo. Na nini kifanyike ili niwe kawaida.
Pumzika vya kutosha,kunywa maji ya kutosha, pia ni vizuri kwenda kufanya checkup..................Naona kila kitu kipo sawa. Lakini nakuwa na hiyo hali
Asante sanaNi ngumu kujielewa asilimia kubwa Khali hiyo hutokea unapokuwa mpweke na hapo hapo unakuwa kama kuna kitu unapingana nacho akilini,
Ila pole kunywa maji mengi.
amina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Pole. kila mtu anapenda raha. Na kila mtu anapigania siku ya mwisho aende peponi
Asante. MpendwaHofu ni tatizo kubwa sana, hofu huleta presha na hata ugonjwa wa msongo wa mawazo, njia pekee ya kuondokana na hofu ni maombi, kama wewe ni mkristo ukiwa katika hali hiyo piga nyimbo za praise and worship, ZINATULIZA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wa fursa!!
Malipo yake bei gani?
Asante Sana. Ngoja nifanye hivyoPole sana Mkuu Super women ebu search Bipolar disorders then ujitathimini, pia sali na omba toba yamkini kuna jambo lisilojema/ la kukuhuzunisha linakuja,
Asante sana. Na PoleIliwahi nitokea, umefanya vizuri ku share hapa, muhimu ibada , then pretend as if nothing is happening
OkUnaweza ukani PM for more help