Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Lazima kuna vitu vinayoendelea juu yako embu jichunguze vizur m

Maisha
Mipango
Kazi
Mahusiano
Ndugu
 
Aisee ni tatizo kutokujua nini kinakusumbua mpaka ujisikie hivyo

Uko kwenye good terms na mwenzi wako??

Hali hiyo ilinipata ila niljua nini kinasababisha so inakua rahisi pale unaposhare na mtu na ukashauriwa
 
Find something different to do, jitoe hata out kama unahela kdogo nenda hata mikumi katembee sku, jichanganye na marafiki, kama mkristo nenda church hudhuria jumuiya etc, una hitaj tu ku refresh akili yako
Asante sana.
 
Aisee ni tatizo kutokujua nini kinakusumbua mpaka ujisikie hivyo

Uko kwenye good terms na mwenzi wako??

Hali hiyo ilinipata ila niljua nini kinasababisha so inakua rahisi pale unaposhare na mtu na ukashauriwa
Yani sina tatizo lolote linalonisumbua. Zaidi ya hili. Nililoomba ushauri. Basi.
 
Hiyo tunaita Mood disorder inakupelekea kua na mawazo mengi n kushindwa kufany mambo mengine
Ila sio kila bad mood ni disorder
Cha kuzingatia ni ujitahidi uimalize hiyo hali isijirudie ikifika ktk stage tunaita Dysthymic ambayo ni chronic ni mbaya sana
Madhara:ni mengi sana kwa hiyo hali mf.kuvunika moyo,kujitenga na jamii
Matibabu y hiyo hali yapo ila nafikiri wew hujafika hiyo stage ila muhim zingatia sana ujitahid hiyo hali isikuzoe kabisa dadangu ni hatari japo unaweza ona kawaida ila kwetu wasomi wa Psychology ni hatari sana.
 
kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina t


Mama Pole na msongo wa Mawazo.. Nakushauri kama Ni Mucha Mungu basi Sali Sana tena Sana pia usipende kujitenga na watu wako wa Karibu mara nyingine Upweke hupelekea hofu ya Kuishi.. Ongea na Mungu Akuepushie Hofu ya Mauti.

Mungu akubariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…