Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

umeota ndoto gani?, huzuni mara nyingi hujulisha tukio lisilo jema lijalo, au tukio baya ulilotenda na uhahitaji toba, au unahitaji utulivu ilikuskia kitu toka kwa MUNGU, kama wewe ni Mcha MUNGU ni vizuri kuomba angalau mara tatu kwa siku, ukiomba toba na kumsihi MUNGU nini kipo mbele ya huzuni hiyo
Umenikumbusha. Kuna siku Niliota ndoto mbaya mno.
 
Pole sana ila tunae mfalme wa amani naye ni Mungu wetu muombe Mungu amani atakupa maana ameshakwisha kudhibitisha kuwa yy ni mfalme wa Amani najua atakupa amani maana amesema Amani utupayo sisi sio kama vile ulimwengu utoavyo yohana 14:27 nakutakia amani na furaha katika jina la Yesu be happy mdada
Amen
 
Habari zenu.

Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.

Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.
hskuna mtu labda unaisi ana ngoma alafu mlishawahi kunaaaaaaa
 
Mi nikihisi sijielewi elewi. Stress n.k naimagine 'system yangu' imejam so narefresh. Narefresh aje sasa?
*let go off social medias.
*Nalala mapemaaa for a better next day.
*nabadili ulaji, unywaji na uvutaji.
*nakaa mwenyew tu.
Baada ya siku 1,2 tu za utulivu huo kama ni tatizo ntakuwa nshajua..nasolve nasonga mbele.
Ok. Ngoja nami nifanye hivi walau
 
una wasiwasi au uoga kuliko uoga wenywe ulivyo!hilo sio tatizo kubwa jaribu tu kuwa una reason na hayo mawazo yatapotea mwisho wake
 
Pole sana mkuu,

Binafsi nipo katika Dunia ya aina yake japo nipo katika ulimwengu huu.

Kwanza shukuru Mungu kwa uwezo ulionao, pili hali hiyo ni haki ikutoke kwasababu unauwezo mkubwa sana kihisia na kimaono.

Cha kukushauli waombe wote msamaha kama uli wakwaza, pili hepuka kutenda mambo yoyote ambayo unahisi yanakukwaza au yana wakwaza watu.

Mwisho sali sana usiku, ila sali kwa Mungu alie kuumba wewe na usisali kwa Mungu husie mjua utaona njia kwa kila jambo lako hasa katika hii hali
 
Back
Top Bottom