Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Umenikumbusha. Kuna siku Niliota ndoto mbaya mno.
 
Amen
 
hskuna mtu labda unaisi ana ngoma alafu mlishawahi kunaaaaaaa
 
Ok. Ngoja nami nifanye hivi walau
 
una wasiwasi au uoga kuliko uoga wenywe ulivyo!hilo sio tatizo kubwa jaribu tu kuwa una reason na hayo mawazo yatapotea mwisho wake
 
Tatizo Limeanzia Kwenye Hili Jina Lako "Super Women"......
 
Pole sana mkuu,

Binafsi nipo katika Dunia ya aina yake japo nipo katika ulimwengu huu.

Kwanza shukuru Mungu kwa uwezo ulionao, pili hali hiyo ni haki ikutoke kwasababu unauwezo mkubwa sana kihisia na kimaono.

Cha kukushauli waombe wote msamaha kama uli wakwaza, pili hepuka kutenda mambo yoyote ambayo unahisi yanakukwaza au yana wakwaza watu.

Mwisho sali sana usiku, ila sali kwa Mungu alie kuumba wewe na usisali kwa Mungu husie mjua utaona njia kwa kila jambo lako hasa katika hii hali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…