Poleh mwaya,sijui ttz ni nini specifically ila ntakushauri kiroho,ss sijui mkristo mwenzangu,ama muislamuPole. Yaani sina raha kabisa
asante sanaPoleh mwaya,sijui ttz ni nini specifically ila ntakushauri kiroho,ss sijui mkristo mwenzangu,ama muislamu
Either way, PRAY. Mf unakua na Bible verses zako unasoma asbh,mchana, jioni,choose Bible verses when in anxiety or depression or worry,Google utapata jipangie uwe unasoma whenever hio hali inakupata itakupa moyo
My favorite huwa ni Zaburi 23,Sala ya Bwana,na Usijisumbue kwa neno lolote bali kila neno kusali haja zenu zijulikane na Mungu
Mhh ushauri ama mtongozoNjo ibox nikupe ushauri
Nenda kwa mganga...Habari zenu.
Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.
Teh teh...sali mamy.. me ikinitokea hiyo hali huwa na sali na sinywi pombe kabisa ... nilikunywaga pombe nikaogopa kulala nikijua nikifunga macho tu ni kaburini........
Nenda kwenye tiba za asili dada matatizo makuu hayo, hata mimi ishawai kunitokea lkn sijambo.Habari zenu.
Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.
mganga yupi???Nenda kwa mganga...
Unauliza aina gani ya mganga au nani specifikale? Nilimaanisha Mganga wa Kiafrika/Kienyeji... Kama huwa unatumia aina hiyo ya matibabu.mganga yupi???
alikuwa anakamatia fursaMhh ushauri ama mtongozo
asante. huwa situmimi waganga wa kiafrikaUnauliza aina gani ya mganga au nani specifikale? Nilimaanisha Mganga wa Kiafrika/Kienyeji... Kama huwa unatumia aina hiyo ya matibabu.
Habari zenu.
Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.
asanteNenda kwenye tiba za asili dada matatizo makuu hayo, hata mimi ishawai kunitokea lkn sijambo.
Wa kizungi unatumia heheh..,asante. huwa situmimi waganga wa kiafrika
Upo sahihi kabisa hiyo hali hata Mimi uniaumbua sana lakini nikianza kumtafakari mungu na kutubu dhambi zangu huwa inaisha kabsa muone mungu kuwa mtoshelevu maishani mwako na kila kitu kitakuwa sawa. Kuna roho chafu huwa zinasababisha hali hiyo.Hata mimi hunitokea mara nyingi, mwanzoni nilikuwa nakunywa pombe ili kujituliza. Nikaja kujua kuna bad spirits ambazo zinanifanya niwe hivyo. Siku hizi ikinitokea hiyo, natafuta sehemu ya peke yangu nawaza nimekosea wapi namwomba Mungu msamaha na kama kuna mtu anaweweseka kwa ajili yangu namtafuta naomba anisamehe. Anapotamka tu kuwa amenisamehe amani hujaa moyoni mwangu. Jichunguze rafiki yangu, utanipa jibu. Hii haina udhehebu, kwa imani yako tu
Pole. Lakini wewe si ni Muafrika?asante. huwa situmimi waganga wa kiafrika