Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Umri wako tafadhari,je kuna jambo hujalitimiza au kitu au mtu huja(ki)[m]pata?
Basi ukichunguza hicho kitu ndicho kinakupunguzia norepinephrine kwenye ubongo wako
 
Umri wako tafadhari,je kuna jambo hujalitimiza au kitu au mtu huja(ki)[m]pata?
Basi ukichunguza hicho kitu ndicho kinakupunguzia norepinephrine kwenye ubongo wako

Ikitokea Mtu hali ya namna hiyo ufumbuzi wake ni nini @ Mkuu? Kuna Mtu amepitia changamoto/ shida ya hivyo, je anapaswa kufanya nini?
 
Ya kunakitu kinaweza tokea mda wowote mwili wa mwanamke umeumbwa hivyo kuhis tatizo kabla halijatokea
 
Ikitokea Mtu hali ya namna hiyo ufumbuzi wake ni nini @ Mkuu? Kuna Mtu amepitia changamoto/ shida ya hivyo, je anapaswa kufanya nini?
Inatakiwa afanyiwe Counseling tu na atakuwa powa, kila mtu anapitia changamoto katika maisha.
Pia inawezekana kuzi_boost hizo chemikali kwa dawa na atakua powa kabisa
 
Asante sana
 
sijaambulia kitu sijaelewa unazungumzia nini
 
Pole sana mkuu, tafuta kitabu kinaitwa the power of positive thinking kimeandikwa na ian robert ukisome. Nakuhakikishia tatizo lako litakwisha, kuna mstari kwenye biblia unasema Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu soma huo mstari utakupa nguvu pia soma zaburi ya 21.
 
Kama kuna Watu uliwahi watenda Kwa hiyana, watafute utengeneze nao! Imeandikwa " mioyo yetu isipotuhukumu tunao huo ujasiri " kama nafsi yako inakushuhudia kuwa hujamtenda Mtu Kwa hiyana basi labda wamekuroga! Je una bifu na Mtu yeyote? Nenda Kwa Padre/Shekhe atakusaidia!
 
Au umemfumania shemeji yetu na rafiki yako !maana nyie dada zetu mapenzi mmeyaweka mbere sana katika maisha yenu .hivyo kama umeshatendwa kubali matokeo yaishe Sister
 
Upweke ni wewe kukosa kua karibu yako,,,haupo na wewe,hauongei na wewe,haujitazam wewe,unataka kuongea au kua na watu na watu hao wanapokesekana tatizo linajirudia,,ila jitahidi kua karibu na wewe mwenyewe ndio taba sahihi na ndio tafsiri halis ya upweke
 
Pole sana, naamini ukifuata baadhi ya ushauri uliotolewa baadhi tatizo litakwisha, Pole sana.
 
Asante. Ngoja nikitafute
 
Sana bifu na mtu yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…