Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

'Hakuishia hapo amenisaidia kupata kazi pia, alioa kabla hatujafahamiana, si mtu mzima kiviile, nadhan ana 40+ kwa sasa'

Hiyo quote hapo juu ina maana mgekutana mapema angekuoa wewe???? Kwa nini wanawake mnapenda sana kujiona bora kuliko mliowakuta?????? Mchepuko ndio nafasi yako huwezi kuwa mkewe wewe
 
Kanyaga twende maa ucumize kichwa mimba ni mimba tuu wengine wanazitafuta hawazipati,Muzee akuwe mpore kuchapiwa ni siri ya ndani kama kashindwa hata supu ya pweza bora yesheee.
Ha ha ha ha umetisha yakheeee
 
Ili jukwaa sijui vinavyoandikwa vina ukweli cjui vya kutunga maana ni upuuzi mtupu.
 
Hapo sasa, na kwa nini akubali kuolewa na mtu anayesimamisha mara moja kwa wiki kama alijua hatoweza kustahamili?
Ha ha aiseee eti anasimamisha kwa wiki Mara moja, nimecheka sana, watu bwana
 
ukisoma post za me utajua wengi wameghadhabisghwa sana na huu uzi wa dada.

lakin tuje kwenye ukweli hivi ni me wangapi ambao wanazaa nje ya ndoa zao na wana michepuko hata 3 kwa nyakati moja?

kila mtu ana haki ya kusema jambo ila unapohukumu jiulize wewe je u msafi zaid ya unaye mhukumu?

well, mtoa mada kwasabb umeuliza mimba ni ya nani mie nakupa jibu mimba ni ya uliyekutana nae wa kwanza, kwasabb tayari mbegu zake zilishatangulia kwenye mfuko wako wa uzazi kabla ya za mumeo.
 
Hata kama angekunyofolea moyo wake na kukupa. Hukutakiwa kufanya kosa kama hilo. Una ksi kubwa sana duniani na mbinguni. Omba toba ka mungu wako. Hata kama utakuja kugundua ni mimba ya mchpuko hunancha kufanya zaidi ya kumpa mzigo wako mumeo. Maana ndiye mumeo halali jamii haitakulewa utakapo fanya kinyumna haya. Endapo akigundua mumeo muelze ukweli itakuwa rahisi kukusamehe.
 
The fastest swimmer ndio anaye fertilize yai! Sasa kwa vile mme wako ana cum haraka huenda hata they swim fast. Mtoto wa nje hajifichi yaani unazaa mtoto wa kiume photocopy of the cheating father
 
Acha uzinzi na umalaya ww mwanamke! Km mumeo hakuridhishi kwanini ulikubali kuolewa nae??

Subiri kufa kwa UKIMWI,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…