Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Napenda nianze kwa salaam, wakubwa shikamoni, wadogo habari zenu. Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo wa HKL, nimepata III ya 15 (HistoryE KiswahiliE LanguageE General Studies S).
Kwa kifupi baba yangu alifariki toka kitambo na ninaishi na mama yangu ambaye naye hajiwezi kiuchumi. Elimu yangu ya sekondari nilisaidiwa na jirani yangu ambaye naye kwa bahati mbaya kafariki mwezi machi mwaka huu. Nimejaribu kuulizia kwa wanachuo kuhusu uombaji mkopo chuo kikuu wakanambia naweza kuomba mkopo na nisipate au ata nikipata ni asilimia ndogo.
Hivyo kwa yeyote anayejua hatua za kufuata iliniweze kupata mkopo angalau asilimia 90% aweze kunisaidia. Nahitaji sana msaada wenu.
Asanteni na Mungu awabariki.
Kwa kifupi baba yangu alifariki toka kitambo na ninaishi na mama yangu ambaye naye hajiwezi kiuchumi. Elimu yangu ya sekondari nilisaidiwa na jirani yangu ambaye naye kwa bahati mbaya kafariki mwezi machi mwaka huu. Nimejaribu kuulizia kwa wanachuo kuhusu uombaji mkopo chuo kikuu wakanambia naweza kuomba mkopo na nisipate au ata nikipata ni asilimia ndogo.
Hivyo kwa yeyote anayejua hatua za kufuata iliniweze kupata mkopo angalau asilimia 90% aweze kunisaidia. Nahitaji sana msaada wenu.
Asanteni na Mungu awabariki.