Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia vile unazidi kujionyesha vile unauelewo mdogo sana kwa mambo ya militaries.... You are not my size my friend..... Alafu hayo ya internet na website... unasema nini sasa...... how much do you know about SIPRI, do you know how much respect SIPRI commands in the global defense circles??? hehe ungetamka hayo maneno mbele wa mkusanyiko wa wanajeshi kwa arms trade fulani ungenyongwa hapohapo... Sipri is not just anyone on the internets, SIPRI is the 5th most influential think-tank in the world! Magenerali wa nchi kubwa kubwa hata hao mara kwa mara wanajulikana kuulizia mawaidha , trends, predictions kutoka kwa hio organisation. The fact that you don't know sipri na una claim unajua mambo ya defence.. nkt ata wacha niache hapo tu.Kwikwikwikwi unanichekesha sana.
Hujui lolote kuhusu mambo ya jeshi wewe. Endelea kufanya matangazo yenu tu huku wanamgambo wa somalia wanawachinja kama kuku. Hujui hata maana ya internet na website. Mtu yeyote anaweza akaandika anavyotaka na jinsi ulivyo na uelewa mdogo utapayuka hovyo hovyo tu.
Hayo matumizi ya pesa zote hizo yameleta tija ipi katika jeshi lenu zaidi ya kwenda kuiba kwenye supermarket. Kwikwikwikwi kweli mgekuwa na nchi inayojari wanajeshi wangeweza kuiba kweli kwenye supermarket?
Endeleeni tu kufanya selfie huku mnateketea kama sisimizi. Jeshi la kenya ni sawa na mgambo wa TZ. Viuno vyao vimelegea sasa. Kenya ipo na jeshi weak mnooooooo.
Kwikwikwi sasa kaa mkao wa kula nakuletea zana za kazi za JWZ. KDF ni wanyonge mno wanatembea kama miss kenyaAngalia vile unazidi kujionyesha vile unauelewo mdogo sana kwa mambo ya militaries.... You are not my size my friend..... Alafu hayo ya internet na website... unasema nini sasa...... how much do you know about SIPRI, do you know how much respect SIPRI commands in the global defense circles??? hehe ungetamka hayo maneno mbele wa mkusanyiko wa wanajeshi kwa arms trade fulani ungenyongwa hapohapo... Sipri is not just anyone on the internets, SIPRI is the 5th most influential think-tank in the world! Magenerali wa nchi kubwa kubwa hata hao mara kwa mara wanajulikana kuulizia mawaidha , trends, predictions kutoka kwa hio organisation. The fact that you don't know sipri na una claim unajua mambo ya defence.. nkt ata wacha niache hapo tu.
Anyway, afadhali hao waizi wetu.. Si tuliwafuta kazi mara moja ..... Lile Jeshi La Wabakaji Watotoz linaendeleaje?? mnabaka watoto chini ya miaka kumi na tatu ata hamna aibu mpaka inabidi mfungiwe kambini...hahahaha ai...hilo jeshi lenyu bado primitive..linahitaji kufundishwa basic human behavior mwanzo
Now who is showing off... hivi ndo vifaa ambavyo unafaa kuficha sasa.... FYI hio miaka yote kenya haijawai kuonyesha zile tutaita stratejic assests ambazo hua zinaeza badilisha battlefield kwa madakika, hatujawai onyesha SAM ama air defence systems hata siku moja .... Zile vitu zengine kama vifaru,APC hivyo ni vitu vya kawaida unaeza onyesha...but you never show your defence capabilities!!!Machine hizi zinamasafa ya kufa mtu. Hii ndio TZ bana
View attachment 418468 View attachment 418469 View attachment 418470
Kwikwikwikwi umeanza kuufyata mkia sasa. Subiri nakuwekea mipicha ya kufa mtu leo utanikoma.Now who is showing off... hivi ndo vifaa ambavyo unafaa kuficha sasa.... FYI hio miaka yote kenya haijawai kuonyesha zile tutaita stratejic assests ambazo hua zinaeza badilisha battlefield kwa madakika, hatujawai onyesha SAM ama air defence systems hata siku moja .... Zile vitu zengine kama vifaru,APC hivyo ni vitu vya kawaida unaeza onyesha...but you never show your defence capabilities!!!
yani nakwambia naona hizi picha nasikia kucheka....hao ndo special forces yani.gsu yetu yenye ilipiga ug kule western iko poa zaidi ya hawa waseeHawa ndo special forces wenu.
Gsu yetu yenyewe iko more modernised than their special forcesyani nakwambia naona hizi picha nasikia kucheka....hao ndo special forces yani.gsu yetu yenye ilipiga ug kule western iko poa zaidi ya hawa wasee
Kwikwikwikwikwi mmeanza kujibu kinyoooonge.
Kamanda mpe vitu huyo...tupo nyuma yakoKwikwikwi sasa kaa mkao wa kula nakuletea zana za kazi za JWZ. KDF ni wanyonge mno wanatembea kama miss kenya
Huyu hapa
View attachment 418479
[emoji23] [emoji23] mbona wewe hutoi?Kamanda mpe vitu huyo...tupo nyuma yako
Kuwa modernized ndo madudu gani..kuiba maziwa supermarket ama?Gsu yetu yenyewe iko more modernised than their special forces
Huyo anawatosha....[emoji23] [emoji23] mbona wewe hutoi?
Hata mimi nimekupatia police sijakupatia mwanajeshi. Kama unataka ligi kwenye police tuanze. Maana jamaa yako aligoma akasema nisiweke hizo ndio maana nikaanza na jeshi la nchi kavu jinsi ya kutungua videge vyenu vya kinyooonge vya kenya.Hao ni polisi si jeshi