mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Habari wataalam, mwanangu ana miezi mi 3, alichomwa sindano begani akiwa hajafikisha mwezi.
Siku zinavyozidi kwenda ndo kinundu kinaongezeka pale alipochomwa sindano. Na kumeanza kuwa kama jipu na unjano wa usaha unaonekana.
Je hii ni kawaida au kuna tatizo?
Mtoto wangu wa kwanza hali hiyo haikumtokea.
Siku zinavyozidi kwenda ndo kinundu kinaongezeka pale alipochomwa sindano. Na kumeanza kuwa kama jipu na unjano wa usaha unaonekana.
Je hii ni kawaida au kuna tatizo?
Mtoto wangu wa kwanza hali hiyo haikumtokea.