OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Naunga mkono hojaKama Simba na mashabiki wake tutaendelea kua vipofu Kwa sababu tu ya ushindi wa bahati bahati.
Basi Mechi ya Marudio na Yanga Lig kuu, Jamaa watatupiga Goli nyingi sana kuzidi hata zile 5.
Simba mwanzo mwisho anacheza huoni km ana plan ya kutafuta goli, goli za Simba ni Penati, Faulo, na Bahati mbaya yaan imetokea pigapiga goooo.
Mkuu unataka shabiki wafanyaje? Wapange kikosi? Au wasajili? Maboresho ya kikosi ni kazi ya bench na uongozi. Sisi kazi yetu ni kuanikiza.Kama Simba na mashabiki wake tutaendelea kua vipofu Kwa sababu tu ya ushindi wa bahati bahati.
Basi Mechi ya Marudio na Yanga Lig kuu, Jamaa watatupiga Goli nyingi sana kuzidi hata zile 5.
Simba mwanzo mwisho anacheza huoni km ana plan ya kutafuta goli, goli za Simba ni Penati, Faulo, na Bahati mbaya yaan imetokea pigapiga goooo.
We nawe ni shabiki wa Mnyama..?Kama Simba na mashabiki wake tutaendelea kua vipofu Kwa sababu tu ya ushindi wa bahati bahati.
Basi Mechi ya Marudio na Yanga Lig kuu, Jamaa watatupiga Goli nyingi sana kuzidi hata zile 5.
Simba mwanzo mwisho anacheza huoni km ana plan ya kutafuta goli, goli za Simba ni Penati, Faulo, na Bahati mbaya yaan imetokea pigapiga goooo.