Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Basi tembea uchi kabisa maana hata nguo hukuzaliwa nazoHuo ndo muonekani wa mwanadamu haya mengine ya utanashati ni makuzi tu tumekutana nayo shule vinginevyo nywele zetu zilitakiwa ziwe zimejisokota
Wanmpotezea Jakaya labda kwasababu kawaletea jiwe[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]Wazanzibar wanaboa na maneno yao.
Yani halafu kataja watu wote lakini kwa Jakaya kampotezea halafu wanaongea shombo shombo tu
Ni bataUsiku wake[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tanzanian's sweetheartBora Wema kashinda angekufa leo
Wamekuja wote aka wamekaa pamoja au ni vipi...nipo Itabagumba Sengerema huku sina TvYaani ni full vituko ,Diamond alikuwa anaona ona aibu tu , alipotajwa na Hamisa kuwa yeye ndiye mwanaume aliyependeza zaidi alishtuka sana akaanza kuangalia pembeni kwa aibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Jamani Wema kanuna huyooo kile kicheko ni cha kufoji tu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Na manywele yake kama mavuzi ya jini. Ila ana sauti tamu[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Mkuu weka picha ya mavuzi ya jini tulonganisheJamani Wema kanuna huyooo kile kicheko ni cha kufoji tu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Na manywele yake kama mavuzi ya jini. Ila ana sauti tamu[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Wamekaa mbali mbali kidogoWamekuja wote aka wamekaa pamoja au ni vipi...nipo Itabagumba Sengerema huku sina Tv
Sijui ni mpododo OG??Mama weeeee! Nilikuwa sijamuona Wema kwa nyuma, Duh Kafungasha huyo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]