Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125][emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] Nyungo halafu kapaka usembe
Nlikua nakusoma kwa karibu lol yawezekana ndo mimSorry Lady Red, yule mdada amevaa nguo nyekundu yaani ni Lady in red. Msije mkachanganya hapa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Jamani hadi raha!CEO wa Azam Media, afadhali umeona hilo, kwa mzee baba yetu Mhe, rais mstaafu wa awamu ya nne Doctor Jakaya Mrisho Kikwete. Huyu mzee tabasamu lake tu ni sinema tosha linaburudisha na kuleta raha.
Ni wewe kweli? Kama kweli nijuze ninyapie kwa Kassim Majaliwa yako![emoji38] [emoji38]Nlikua nakusoma kwa karibu lol yawezekana ndo mim
Ataondoka na Mobeto, kwani hujaona alivyomsifia?Jamani hadi raha!
Sijui Diamond ataondoka na nani Leo?!
Mzee mtu wa watu sio huyu fala tulienaedaah kweli Kikwete alikua Rais leo ndo nimeona tofauti asee watu kibao wamemzonga mzee wanafurahi nae pamoja
Hawezi kuzima, ye hajasifmiwa eti! Ila hata kama ni mimi ndio ningekuwa dangote, leo Mobeto asingetoka salama.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Wema atazima jamaniii
Na watu wamemuwezea kweli kila msanii atakaepanda pale juu anasema anashukuru uwepo wa rais mstaafu[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti....?!!
Labda walipigiana simu wavaeje[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ila kahamisa kalipendezaaa haswaa na white yake na walimechisha!!!