Na yanakuingia huku unachekaa
Kumbe ni mtendaji wa azam tvKwa nini?
Jk mhuni mhuni sana!Kuna Dongo aliwatupia Simba na Yanga kimtindo kuhusu kununua Mechi Watu wengi hawakuelewa lakin wenye Tabia hizo walielewa ndio Sababu Haji Manara akacheka sana mpka Jk akamtaja kuwa anacheka sana
Kama Sio Mtu wa vijiweni huwezi ijua ile falsafa
JK mjanja mjanja sana ,mzee wa town , ana maneno ya shombo huyo balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Dongo aliwatupia Simba na Yanga kimtindo kuhusu kununua Mechi Watu wengi hawakuelewa lakin wenye Tabia hizo walielewa ndio Sababu Haji Manara akacheka sana mpka Jk akamtaja kuwa anacheka sana
Kama Sio Mtu wa vijiweni huwezi ijua ile falsafa
Ndio mambo anayokumbukwa nayo hadi leo... kuhudhuria matamasha na misiba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JK mswahili sana
Na kuleta maendeleo pamoja na kulinda amani ya nchi sio huyu tuliye naye kila kukicha mauaji yanaongezeka ..Anatutoa kafara tu ili aendelee kubaki mjengoniNdio mambo anayokumbukwa nayo hadi leo... kuhudhuria matamasha na misiba
Mshaanzaa utoto sasaWoyoooooo Diamond Platnumz ndani ya mjengo
Ndio mambo anayokumbukwa nayo hadi leo... kuhudhuria matamasha na misiba
SimbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMshaanzaa utoto sasa
Yap Bakhressa nae kwa wahindii!
Achana na huyo Becka anadhani sijui yupo kwenye Karaoke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mondi ndio mpango mzima .Huyu beckaa daaaah