Sinema Zetu international Festival kufanyika Leo Mlimani city;

Sinema Zetu international Festival kufanyika Leo Mlimani city;

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
Heri ya Pasaka wapendwa;

Leo pale maeneo ya Mlimani city hall kutakua na tamasha la film la kwanza Kwa hapa Tanzania ambapo tuzo mbalimbali za film zitatolewa usiku wa Leo kwa wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo hizo;
Katika tamasha hilo pia kutakua na msanii kutoka India anayeitwa Preetika Rao.

Karibuni wapenzi wa sinema japo Bongo movie ishakufa ila ndo vya kwetu hvyo;
 
Heri ya Pasaka wapendwa;

Leo pale maeneo ya Mlimani city hall kutakua na tamasha la film la kwanza Kwa hapa Tanzania ambapo tuzo mbalimbali za film zitatolewa usiku wa Leo kwa wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo hizo;
Katika tamasha hilo pia kutakua na msanii kutoka India anayeitwa Preetika Rao.

Karibuni wapenzi wa sinema japo Bongo movie ishakufa ila ndo vya kwetu hvyo;
Weka rekodi sawa, sio tamasha la kwanza nchini, kumeshakuwa na matamasha kadhaa.

Labda kama ueleze jambo maalum na la kipekee litakalokuwepo hapo tofauti na ilivyofanyika kwingine.
 
Weka rekodi sawa, sio tamasha la kwanza nchini, kumeshakuwa na matamasha kadhaa.

Labda kama ueleze jambo maalum na la kipekee litakalokuwepo hapo tofauti na ilivyofanyika kwingine.
Wamesema wenyewe Azam TV ninalojua Mimi ni ZIFF
 
Yule mdada Berth sijui kashonaje looohhj!km anaenda kanisani
 
Wamesema wenyewe Azam TV ninalojua Mimi ni ZIFF
Wanajifagilia tu kwa kupotosha, labda waseme watakuwa na idea mpya tofauti za kunogesha mambo.

Other wise niwape kongole coz kwa hali ya Bongo movie huenda wakaleta ukombozi.
 
Wanajifagilia tu kwa kupotosha, labda waseme watakuwa na idea mpya tofauti za kunogesha mambo.

Other wise niwape kongole coz kwa hali ya Bongo movie huenda wakaleta ukombozi.
Kwa kweli maana bongo movie ilishakufa kabisaa!
 
Sasa huyo wa muigizajii wa kihindi kaja kufanya nini ??
 
Haijakufa in such ila inapumulia mashine.

Wana sanaa wana usemi wao kwamba sanaa haifi bali inazimia unapokosekana ubunifu.
Huku sio kuzimia kwa kweli kuzima kabisaa!
 
Back
Top Bottom