Dah!Tanesko wangaaa wamekata umeme mtatusimuliaaa loojhj
Wamemkomesha Tido Mhando na event yake
Kamaliza kuongea Mwansiasa Nguli Dkt Jakaya Mrisho khalfan Kikwete Mizega
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Tanesko wangaaa wamekata umeme mtatusimuliaaa loojhj
Possible kabisaaWamemkomesha Tido Mhando na event yake
Kamaliza kuongea Mwansiasa Nguli Dkt Jakaya Mrisho khalfan Kikwete Mizega
Tuko mtaa mmoja nini ??[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kamaliza kuongea Jakaya I hope mtarudishiwa UmemeYaani dah!utatupa mrejesho maana hapa tumedodaa
Possible kabisaa
Kwetu tayariiiiKamaliza kuongea Jakaya I hope mtarudishiwa Umeme
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JK mswahili sanaJk anakwambia Bongo Movies mpaka kusonya wanaiga wanavyosonya Kwenye Movies za ki Nigeria
JK anakuchana kwa lugha laini kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kawapakaaa
Anko rich sio mchafu ndo alivooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee makini sanaKuna jaji mmoja mchafu mchafu sana hapa , anaitwa uncle Rich ni mchafu mpaka anaboa
Kuna jaji mmoja mchafu mchafu sana hapa , anaitwa uncle Rich ni mchafu mpaka anaboa
Muonekano wake sijaupenda kwa kweli , hayupo nadhifu kabisa madevu hovyo hovyo, manywele hachani ,nguo mbaya ,yani kero tupuAnko rich sio mchafu ndo alivooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee makini sana
Rasta fMuonekano wake sijaupenda kwa kweli , hayupo nadhifu kabisa madevu hovyo hovyo, manywele hachani ,nguo mbaya ,yani kero tupu