Singa: Kijiji kilichokuwa tajiri kuliko vyote Tanzania kabla na baada ya uhuru

Haa [emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji1][emoji16][emoji23][emoji1787]
Wewe Jamaa Ni Ujanjaujanja
Korogwe Hapo Mgombezi,
Yap hapo hapo,miaka ya nyuma kiuchumi kilikuwa juu sana,japo kwasasa hakuna kitu
 
Hapa sio Mabogini kweli?
Au ni Arusha chini?
 
Yap hapo hapo,miaka ya nyuma kiuchumi kilikuwa juu sana,japo kwasasa hakuna kitu
Napajua Sana Hapo Mgombezi, Pia Kibosho Manushi Juu
Manushi Ndoo Nilikuwa Huko Siku Chache Zilizopita
 
Duh

Vichaa wengi nchi hii....

Nilidhani unatoa turnovers za uzalishaji na living standards kwa takwimu kumbe ni upumbavu wa "kiroho" na ujinga mwingine mwiiingi wa chooni huko
Ndio sifa za kijiji chenu ama za mji uliopo?
 
Nilipokuwa uko nasoma A Level nilikuwa natoroka kwenda maeneo ya karibu na mlima Kilimanjaro geti nimelisahau jina ila vijiji vya karibu vilikuwa vimepimwa. Unapita shamba na shamba unaona vipimo vimenyooka.

Hata hivo watu wa uko wanapenda migogoro ya ardhi. Unakuta mtu ana kiwanja cha 500×400 analazimika akipige fensi chote. Unakuta geti zuri na ukuta mzuri unaamini hili jumba ndani kali, ukikaona ni kajumba ka room nne kabaya.

Ila kuna designers wazuri wa mageti.

Demu wangu Diana alikuwa mzuri mpaka leo natamani nirudi uko. Nilikutana nae katika harakati za kujiandikisha NIDA. Mwakani likizo namfata haolewi leo wala kesho
 
Utajiri wa eneo unatokana na idadi ya watu,elimu zao,uwezo wao au ni vitu vilivyokuemo?
 
Picha
 
KWA UJUMLA MKOA WA KILIMANJARO KWA SASA WOTE UMEDUMAA I DONT KNOW REASON ? only god can rescue
 
....Demu wangu Diana alikuwa mzuri mpaka leo natamani nirudi uko. Nilikutana nae katika harakati za kujiandikisha NIDA. Mwakani likizo namfata haolewi leo wala kesho

Wait wait wait a second!

You just said Diana! Geti gani tafadhali!
 
Wait wait wait a second!

You just said Diana! Geti gani tafadhali!
Upande wa Mandao. Kuna mteremko mkali na kona nyingi ukiwa unapanda. Kuna centre flani ya kwanza kabisa ukishuka, ukishaachana na geti ukaja kwa raia. Ila maeneo yale kuna watoto wazuri balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…